kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,142
- 15,759
#GGMU
Ole Kama anabahatisha kikosi , anyway,,,!!!!!
Ole Kama anabahatisha kikosi , anyway,,,!!!!!



Baada ya mechi utapotea wiki nzima hapa..Leo hatuwali kimasikhara maana tumedhamiria Kuwala kabisa.
Hahah adi sasa naongoza mbili bila halafu nipotee..kuwa makini weweBaada ya mechi utapotea wiki nzima hapa..
Hizo beki za kati bila Bailey ni kutafuta kushikana uchawi tu.
Carlisle ndio kina nani hao mkuu?Carlisle huvuna £10K kila mechi Dean akiidakia Manutd lakini hawapati kitu kama yuko kwenye mkopo.
Ni mkataba mnono kwao fikiria kwa mechi wanatia kibindoni Tshs 23, 190, 000/= Mungu awape nini?
We kweli kobe!Ukisema tuangalie akili, semeni wenyewe T. Tuchel na sosha nani ana akili timamu??
Wadogo zangu Chelsea mimi kaka yenu arsenal nahidhinisha kwa chochote mtakacho mfanya huyu nyumbu
Mbili ya wapi wewe kimaHahah adi sasa naongoza mbili bila halafu nipotee..kuwa makini wewe
Nafatilia notification kwenye simu, nilisema mechi itakua MBOVU..unaangalia mechi ya timu iliyopitwa point 13 ya kaz ganiMoja ya mechi ya hivyo kuangalia, wachezaji wanarundikana na kusukumana kama Rugby
Ndugu hapa leo ni pipa na mfunikoSikuwa kwenye TV, kwa dk 10 nilizoangalia timu ipo vizuri, wanajituma, wanahamu hata wakilinda daraja lao tukafungwa sita laumu. Wish to win big, GGMU