Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,891
Bado et hadi aangushe gari.Bado hajafukuzwa tu.....
Bado et hadi aangushe gari.Bado hajafukuzwa tu.....
Hata Ole mwanzo alishinda mechi 12 mfululizo baada ya hapo the rest is history kwahiyo Tuchel tuendelee kumpa mudaThomas Tuchel kasuka backline vizuri kwa kuwatumia wachezaji waliokuwa wanaonekana vilaza tu na Lampard na wanacheza vizuri.
Azpilicueta Christensen Rüdiger
Hapa ndo ubora wa mwalimu unapoonekana..na sio kuwa mhamasishaji tu.
Ole alianza kama interim managerHata Ole mwanzo alishinda mechi 12 mfululizo baada ya hapo the rest is history kwahiyo Tuchel tuendelee kumpa muda
Mechi za mwanzoni tu hizo mkuu wala zisikupe pressure, hata Ole, Arteta nao walianza hivyo hivyo, kocha hawezi kubadilisha timu ndani ya wiki tu never.Thomas Tuchel kasuka backline vizuri kwa kuwatumia wachezaji waliokuwa wanaonekana vilaza tu na Lampard na wanacheza vizuri.
Azpilicueta Christensen Rüdiger
Hapa ndo ubora wa mwalimu unapoonekana..na sio kuwa mhamasishaji tu.
Time will tellMechi za mwanzoni tu hizo mkuu wala zisikupe pressure, hata Ole, Arteta nao walianza hivyo hivyo, kocha hawezi kubadilisha timu ndani ya wiki tu never.
Endelea kusema mechi za mwanzoni ..utajikuta upo nje ya top four..Mechi za mwanzoni tu hizo mkuu wala zisikupe pressure, hata Ole, Arteta nao walianza hivyo hivyo, kocha hawezi kubadilisha timu ndani ya wiki tu never.



upo sawa kabisa lakn ebu niambie ww yale makosa anayo fanyaga ya Maguire unataka kusema kocha anausika au ni uwezo wa mcheza binafsi na kuto kuwa makiniThomas Tuchel kasuka backline vizuri kwa kuwatumia wachezaji waliokuwa wanaonekana vilaza tu na Lampard na wanacheza vizuri.
Azpilicueta Christensen Rüdiger
Hapa ndo ubora wa mwalimu unapoonekana..na sio kuwa mhamasishaji tu.
Ni kazi ya kocha kuona mapungufu ya mchezaji na kumrekebisha awe mzuri..ikishindikana inabidi kocha afanye taratibu za kumuondoa taratibu kikosini kama kweli anadhani yeye(kocha) amefanya kila linalowezekana lakini bado mchezaji hafikii ubora unaohitajika..upo sawa kabisa lakn ebu niambie ww yale makosa anayo fanyaga ya Maguire unataka kusema kocha anausika au ni uwezo wa mcheza binafsi na kuto kuwa makini
Jumapili ukilambwa lambwa na City zitakuwa zimebaki point tatu tu.
Asanteni..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa huyu Maguire ni bora tungembakisha Chris smalling.upo sawa kabisa lakn ebu niambie ww yale makosa anayo fanyaga ya Maguire unataka kusema kocha anausika au ni uwezo wa mcheza binafsi na kuto kuwa makini
Hawatuachi mkuu piga ua Mana The mighty Ole ataingia na mfumo wa kukaba mwa mwi na ndipo Pep atakapotufundisha soka, binafsi sitaangalia hiyo mechi cz huwa sipendi mpira mchafu wa kukaba kaba na kupaki basi, huyu kocha wetu ana kikosi kizuri na kinachoweza kusakata soka safi ila anapokutana na Pep huwa anapaki basi hivyo siwezi kuitazama hyo mechi.Nionavyo
Manchester City 0-0 Manchester United
Yule Smalling ndio beki mpumbavu kabisa bora Maguire ana makosa lakini anaweza kusahihisha akipata kocha mzr but Smalling alishindwa kumuelewa Fergie ndo aje amuelewe Ole?Mkuu kwa huyu Maguire ni bora tungembakisha Chris smalling.
The man was better than this maguire in my opinion.
Hahaha nilipoona hii kitu hapa ilinibidi niangalie jina la huyu mtu Google. And yes you guessed it right, he's an English journalist lazima angeongea upupu kumtetea raia wa nchini kwake.