Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Unawaita waje wakukune huo mkundu sio
Hivi wewe boya kwanini hufungiwi!
Unawaita waje wakukune huo mkundu sio
Mimi binafsi kufungwa kwa chama langu nimefurahi sana. Kwa sababu naona kuna faida kadhaa tutapata kabla dirisha la usajili halijafungwa. Ya kwanza tutasajili wachezaji siyo chini ya mmoja, sancho uhakika. Vilevile naona jinsi martial na rashford watakavyotengenezewa competition mulemule, ataanza martial then rashford sub and vice versa is true, kitu ambacho ole na benchi lake la ufundi, lazima wamekiona. Mwisho ole nimwonavyo ni mnafki mwenye faida upande mwingine, ile timu imecheza kiboya vile usikute waliambiwa na kocha na benchi la ufundi, maana bila hivyo hakuna njia nyingine ya kuwashawishi board ya man utd, maana ni vichaa wale(kumbuka waliwahi muambia mourinho kuhusu kutokubaliana na hoja ya kumuuza martial kwa sababu wanamuona kama nacmento pele). Hayo ni mawazo yangu.
Nadhani sasa mmeona rashford na martial wameanza kutengenezewa mazingira ya kupigania namba, the rebuilding takes the progress, tutakuja kuwa tishio baadae.Shida ni kwamba mnamchokoza wenyewe kwenye jukwaa lakeHivi wewe boya kwanini hufungiwi!






Shida ni kwamba mnamchokoza wenyewe kwenye jukwaa lake![]()
Saizi hana stress kabisa lingard ,anacheza bila pressure, ndio maana anaonesha uwezo westham...Kamecheza vzr mechi mbili kameshakimbilia mtandaoni.View attachment 1715306
Kumuuza Diogo Dalot na kuanza kumuwania Max Arons kunaweka doa kwenye benchi la ufundi. Hakuna tofauti na kuuza Lukaku kisha kuanza kuhangaika na akina Ighalo na Cavani.Wakati mwingine mwalimu wetu anafail sana kwenye management ya kikosi chetu yawezekana tuna wachezaji wa kufunika mapungufu yetu lakini mwalimu hajajua awatumie vipi.
Mfano alifanya kosa kumuondoa Diogo Dalot ambaye alitosha kabisa kuwa mbadala wa winger wa kulia.
Sasa hivi timu yetu haina hata uwezo wa kumiliki mpira walau dakika moja uwanjani haijalishi tuko eneo lipi la uwanja hii inatufanya tuwe vulnerable muda wote wa mchezo.
Rashford na Martial wanapaswa wacheze wing ya kushoto Greenwood na Cavan wacheze hiyo centre forward lakini mwalimu bado anaamini wale wehu wake wawili wanafaa kucheza hiyo central role.
Sidhani kama Pogba ataondoka inaelekea Ole kashamlainisha hivyo anaweza kuongeza mkataba tena.
Ni heri tuwaondoe Matic na Juan Mata tutafute wachezaji watakaokuja kuwa mbadala wa kina Scot na Fred au mbadala wa kina Donny na Bruno tunapohitaji a new dimension uwanjani.
Sioni sababu ya kuendelea kumtunza Juan Mata anayecheza mechi tatu kwa msimu.
Mumchukue basiSaizi hana stress kabisa lingard ,anacheza bila pressure, ndio maana anaonesha uwezo westham...




Nasikia kwenye mkataba mmeweka kipengele cha kuto nunuliwa huko westham ,mlijua kama atakiwasha hahaaaaaaMumchukue basi![]()
Nasikia kwenye mkataba mmeweka kipengele cha kuto nunuliwa huko westham ,mlijua kama atakiwasha hahaaaaaa
...!
United haiwezi Fanya biashara na city kwa sawa ...
Sema united haijui inataka nin Lingardinyo anaenda westham anatupia magoli ila united mlikuwa mnamuona useless ...
Atakuwa hayuko sawa huyu.. sasa anashabikia mpira wa nini kama hataki ushabiki? Hao watu anaokaa nao si atakuwa anagombana nao kila siku!
Mkuu tupe muono wako kwenye kikosi kilicho na pogba pamoja na bruno (haijalishi nafasi wanazocheza) tunapocheza big game hasa kwenye uwiano wa kiulinzi.ujio wa winga mpya wa kulia mfano wa sancho utakuwa na maana gani kwa amad diallo?
nafikiri usajili wa donny ulitokanwa zaidi na urahisi wake, klabu ina mahusiano mazuri sana na CEO wa ajax bwana edwin van der sar jambo ambalo lilileta urahisi sana wa kimazungumzo ya kibiashara kati ya pande mbili, halafu thamani yake ilikuwa ni nusu ya gharama za usajili wa jack grealish.
changamoto ninayoiona mimi inatokanwa zaidi na mwalimu mwenyewe kushindwa kutengeneza mfumo utakaowanufaisha wachezaji wetu wote muhimu pindi wanapokuwa wazima (pogba, bruno, donny), solution ninayoiona mimi ni mfumo ule ule wa diamond lakini hilo litawezekana zaidi kama midfield wetu wanaolinda defence line watafanya kazi yao ipasavyo bila ya kusahau awe more intelligence, awe na uwezo wa kusoma mchezo kama carrick, awe mtaalamu wa kunusa position mfano wa xavi (yule thiago alcantara kama angelikuwa na takwimu nzuri za kiafya na umri sahihi basi angelipendeza sana).
Mpaka sasa tungekuwa title contender iwapo recruitment department ingekuwa inatatua matatizo sahihi ya United badala ya kufanya patchwork.
Kama walikuwa wameshamsajili Bruno Fernandez hawakuwa na sababu yoyote ya msingi ya kumsajili Donny kwa sababu ni midfielders ambao hawana ball retention capacity wanapocheza, japokuwa Donny na Bruno wote ni wachezaji wazuri na wanatofautiana quality lakini wana weakness inayokaribiana hawatunzi mpira timu inapokuwa nao tatizo hili linakuwa kubwa zaidi ukizingatia pia Fred na Scot hawana uwezo mkubwa wa possession pia.
Mpaka sasa United inahitaji usajili tena wa wachezaji watatu muhimu ili timu iweze kuwa na balance nzuri.
Wing ya kulia, Center back mmoja na Central Midfielder au Holding atakaye complement weakness za Bruno na Donny.
Pogba anaweza kufanya hiyo kazi ya CM lakini anahitaji holding midfielder makini na mpambanaji sawa na Ng'olo Kante, Joshua Kimmich, Goretzeka au Fernandinho.
Center backs wetu kuendelea kuwa pazia msimu huu ni ishara kuwa either hawaendani kiuchezaji au wanauzembe unaofana.
Tuendelee kuupa muda nafasi huenda ukatupa mwanga zaidi juu ya mwelekeo wa timu yetu.
sijaangalia takwimu zinazoangazia mechi alizocheza juan mata kwa hii miaka minne iliopita ila sidhani kama anafikisha mechi 50 alizocheza za ligi kuu. Nafikiri uwepo wa juan mata klabuni unatokanwa zaidi na sababu za kiuongozi kuliko sababu za kiuchezaji. Juan mata anaonekana kuwa ni mwanadamu mwenye taswira ya upole, uvumilivu, aliyeridhika, mpinga fitna(hajawahi kuanzisha mgogoro wowote dhidi ya mwalimu), mwingi wa ihsan na ikhlaq nafsini mwake.Ni heri tuwaondoe Matic na Juan Mata tutafute wachezaji watakaokuja kuwa mbadala wa kina Scot na Fred au mbadala wa kina Donny na Bruno tunapohitaji a new dimension uwanjani.
Sioni sababu ya kuendelea kumtunza Juan Mata anayecheza mechi tatu kwa msimu.