siyo tu kuassist mpaka kufunga lakini hilo halifichi haya yanayosemwa.
game ya Aseno, Leicester, Everton, Westbrom kama angekuwa makini au kuacha uchoyo hizi game zote tungeondoka na points hata game ya juzi alikuwa anaondoka na mpira kama Mbappe kapata nafasi tatu za WAZI kafunga goli moja, sasa kwa mahitaji ya United kipindi hiki na kijacho hatuhitaji mchezaji wa hivi na sidhani kama kuna mtu anadoubt na uwezo wake.
kukosea ipo ila unakoseaje? mara ngapi per game? je hao wengine wanakosea kama yeye?