Daah we acha tu. Maumivu niliyopitia jana usiku hayakuwa kawaida. Hii timu itaniua aisee.Nyie jamaa mmeongea sana baada ya kubahatisha kukaa kileleni.
Sasa ni wazi hamtakuja kurudi tena nafasi ya kwanza maana mechi ijayo mnanyolewa na Asanali.


Nyie mafala kumamae mmechana mkeka wangu alafu bado mmelala hadi saa izi
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Daah we acha tu. Maumivu niliyopitia jana usiku hayakuwa kawaida. Hii timu itaniua aisee.
Kimasihara tumeliwa na Sheffield
Wacha tuone next game
Timu ipo huko mtaa wa bottom line alafu inakuja kushinda OT. kweli OT yetu tumekua shamba la bibi.Ucijali mkuu ndiyo mpira ulivyo






Utachaniwaje mkeka mkuu na man u Kwan huijui..???Nyie mafala kumamae mmechana mkeka wangu alafu bado mmelala hadi saa izi
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app






inauma ila itabd wazoeeHahahahahahahaha kweli kweli ..bado munahitaji ulinzi???Unadhani ukiwachukia ndio wanafilisika? Wenyewe wako ulaya huko wanapiga hela. Hawana habari kuna hater anaitwa ollachuga.
Utapata magonjwa ya moyo bure ..nyie chelshea ndio mtabeba..? Endelea kuwanga





nauliza bado munahitaji ulinzi.Hahahaha hizo prediksheni zako ndo huwa unafeli sasaLeo tunashinda tatu bila majibu
O2.5
No BTTS
Back at the top of the EPL
Hahahahahaha kileleniKesho asubuhi,Man U Itakuwa kileleni tena.Hatuwezi kufungwa na kitimu kinachoburuza mkia kwenye msimamo.





HahahahahahahahaHalafu city anakwenda kwa liverpool ambayo hata liverpool achezeshe timu b city huwa hashindi pale miaka zaidi ya 18 sasa