Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wba 0-4man city
We jamaa,hebu twambie wewe ni shabikia halisi wa Timu gani? Kama ni wa Man City umeanza kuishabikia lini,na kama ni siku za hivi karibu huko nyuma ulikuwa shabiki wa timu gani, Ili tujue.

Huwezi kuwa shabiki halisi wa Man City unless uwe ni kitoto cha juzijuzi kwenye mpira.Nina mashaka huenda ukawa ni shabiki wa Arsenal ila uko Mancity kutafuta faraja.
 
We jamaa,hebu twambie wewe ni shabikia halisi wa Timu gani? Kama ni wa Man City umeanza kuishabikia lini,na kama ni siku za hivi karibu huko nyuma ulikuwa shabiki wa timu gani, Ili tujue.

Huwezi kuwa shabiki halisi wa Man City unless uwe ni kitoto cha juzijuzi kwenye mpira.Nina mashaka huenda ukawa ni shabiki wa Arsenal ila uko Mancity kutafuta faraja.
Toka mancin ,pellegrin ,kidd sasa gardiola

Mimi ni shabiki wa city kenge wewe

Nakukumbusha tu huu ndio msimamo kwa sasa EPL

Hayo mengine ni takataka

Huoni hata game zimezochezwa
IMG_20210127_070431.jpg
 
Leo tunashinda tatu bila majibu

O2.5
No BTTS
Back at the top of the EPL
Leo united hatoki


Sasa pressure imehamia kwa mashetani wekundu


Timu lenyewe linaitwa shetani ,sijui linategemea nini

Mbaya zaid kuna vijina wanajiita devil humu

Hahahaaaaaaaaaa
 
Toka mancin ,pellegrin ,kidd sasa gardiola

Mimi ni shabiki wa city kenge wewe

Nakukumbusha tu huu ndio msimamo kwa sasa EPL

Hayo mengine ni takataka

Huoni hata game zimezochezwa View attachment 1687192
Kwahiyo wewe huwezi kabisa kujadili bila ya kumtukana mtu? Unaonyesha utoto mwingi sana kwenye hoja zako.Vijana wa Sasa mnashida sana,Sasa kwa hizo akili,wewe unaweza fanya kazi gani ya maana zaidi ya kufugwa kwa shemeji yako?

Hata hivyo sishangai, kama umeanza kufatilia mpira enzi za kina Roberto Mancini, wewe ni mtoto tena 20's kabisa.
 
Leo united hatoki


Sasa pressure imehamia kwa mashetani wekundu


Timu lenyewe linaitwa shetani ,sijui linategemea nini

Mbaya zaid kuna vijina wanajiita devil humu

Hahahaaaaaaaaaa
Kesho asubuhi,Man U Itakuwa kileleni tena.Hatuwezi kufungwa na kitimu kinachoburuza mkia kwenye msimamo.
 
Kwahiyo wewe huwezi kabisa kujadili bila ya kumtukana mtu? Unaonyesha utoto mwingi sana kwenye hoja zako.Vijana wa Sasa mnashida sana,Sasa kwa hizo akili,wewe unaweza fanya kazi gani ya maana zaidi ya kufugwa kwa shemeji yako?

Hata hivyo sishangai, kama umeanza kufatilia mpira enzi za kina Roberto Mancini, wewe ni mtoto tena 20's kabisa.
Mkuu kama wewe umekula chumvi nying ni wewe ,Mimi kuwa 20's sio kigezo cha kuunza kunipangia timu ya kushabikia

Kama wewe ni wa 84 huko na unashabikia man utd kisa man city hakuwa on fire its up to you .

Usilazimeishe Mimi kuwa shabiki wa arsenal !
 
Kwahiyo wewe huwezi kabisa kujadili bila ya kumtukana mtu? Unaonyesha utoto mwingi sana kwenye hoja zako.Vijana wa Sasa mnashida sana,Sasa kwa hizo akili,wewe unaweza fanya kazi gani ya maana zaidi ya kufugwa kwa shemeji yako?

Hata hivyo sishangai, kama umeanza kufatilia mpira enzi za kina Roberto Mancini, wewe ni mtoto tena 20's kabisa.
Unavigezo gan kunambia Mimi ni shabiki wa arsenal kama sio utoto

Wazee wengine mnazeeka vibaya ,

Kwamba man city haina mashabiki ?

Legeza ubongo na kichwa

Ukimheshimu Mtu na yeye atakuheshimu

Tatizo sio kila mzee anabusara ,siku hizi kuna wahuni wanazeeka

So sioni jipya
 
Kwahiyo wewe huwezi kabisa kujadili bila ya kumtukana mtu? Unaonyesha utoto mwingi sana kwenye hoja zako.Vijana wa Sasa mnashida sana,Sasa kwa hizo akili,wewe unaweza fanya kazi gani ya maana zaidi ya kufugwa kwa shemeji yako?

Hata hivyo sishangai, kama umeanza kufatilia mpira enzi za kina Roberto Mancini, wewe ni mtoto tena 20's kabisa.

Huyo dogo nimegundua ni wale watu wenye ID mbili au tatu moja kanatumia kwa upole nyingine kwa matusi halafu sio kashabiki ka city ka mamluki hako mkapuuze
 
Unaongoza kwa point moja unaita presha? Usichekeshe wasiocheka

Halafu city anakwenda kwa liverpool ambayo hata liverpool achezeshe timu b city huwa hashindi pale miaka zaidi ya 18 sasa
 
Huyo dogo nimegundua ni wale watu wenye ID mbili au tatu moja kanatumia kwa upole nyingine kwa matusi halafu sio kashabiki ka city ka mamluki hako mkapuuze
Wew unaushqbiki gan na utd

Mjinga hujawahi hata kuingia OT

Hujawahi lipia hata ticket moja kuingalia mpira OT

Uongoz wote wa utd hakuna nayejua kama upo hata dunian


Leo unasema wewe shabiki wa united ,wewe ni takataka tu

Wewe n Mtu mdogo sana kaa kwa kutulia
 
Halafu city anakwenda kwa liverpool ambayo hata liverpool achezeshe timu b city huwa hashindi pale miaka zaidi ya 18 sasa
Mtu anayezungumzia past ,huwa namuona hamnazo ,tupo 2021 ,tunatakiwa kuaangalia wakati uliopo na ujao, unatembelea historia ,itakusaidia nin

Hapo an field ambapo Burnley kajichukulia point 3 Leo unasema nini

Aisee mambo mengine ni vichekesho

Ze comedy showwww

.
 
Man Utd's @MarcusRashford has been directly involved in six goals in his three #PL appearances Sheff Utd (3 goals, 3 assists)

He averages a goal or assist every 43 minutes against the Blades

#MUNSHU
IMG_0118.jpg
 
Back
Top Bottom