Nakazia kubabakemi naona kila mtuu afee kwenye uzi wake
kama we arsenal
chelsea
liverpool
man city
au banley bhas ka kwenye uzi wako jadili mambo ya timu yako na wenzako
unafiki umbea na kierere kwenye nyuzi za watu hakifai
mana unaona mtuu anaongea usenge kweli wakati aijui timu husika kwa lolote
mi naona kila mtuu afee kwenye uzi wake
kama we arsenal
chelsea
liverpool
man city
au banley bhas ka kwenye uzi wako jadili mambo ya timu yako na wenzako
unafiki umbea na kierere kwenye nyuzi za watu hakifai
mana unaona mtuu anaongea usenge kweli wakati aijui timu husika kwa lolote
yani mtuu anaongea ujinga adi jibu la kumpa unashindwaaaaAu pengine timu yetu imeungana na wauza mafuta sisi hatujui kuna watu wana msongo wa mawazo ukichanganya na stress za kubet na kuliwa tafrani sana
Usisahau pia tuna hazina kubwa ya wachezaji vijana.Ole hata ikitokea kufutwa kazi kocha ajae hawez kupata shida kwa sababu tayar kaanza kurudisha unity kwenye timu angalau kuna uelekeo ambao unaonekana kama timu ni vitu vidogo tu kurekebishwa msimu ujao hata ile identity ya timu ilipotea hapo nyuma kwa sasa walau tunaona kuna kurudi jambo moja bado kuzungusha sana kikosi
.HahaaaaaaaaaHuyu pain killer ni kumchongea tu ale ban ya milele......
KERAAA WATU KWA POINT SI UNAJAMBAJAMBA TUHahaaaaaaaaa
Mkuu Mimi kusifia siwezi
Kama mnataka kusifiana group la Wasap linawafaa
ila swala La kutokufungua Uzi ,jf ina thread kibao na kila mtu anafungua ...
Mimi kuwakera ni kawaida
Naongea point maana ,zinawatouch mpaka moyoni ....hapa ndipo kauli ya ukweli unauma inapokujaKERAAA WATU KWA POINT SI UNAJAMBAJAMBA TU
Wewe kwanini unasumbua watu humu, huoni kwamba Manchester United ni timu kubwa kuliko City? Je unapinga hilo?Naongea point maana ,zinawatouch mpaka moyoni ....hapa ndipo kauli ya ukweli unauma inapokuja
Zinawakera mpaka wanavurugwa
Wanaenda kuomba msaada kwa mod
uko sahihi 99.9%MATCHDAY
Hii ni game ambayo inabidi tushinde kiulani kabisa mapema..It's against blades guys ambao wanashika mkia kwenye msimamo wa EPL..Wapo kwenye form mbovu kabisa.
•••••••••
MY STARTING XI vs SHEIFIELD UNITED
=======
De Gea
AWB Bailly Maguire Telles
Matic Fred
Greenwood Fernandes Martial
Cavani
======
Rashford,Pogba,Shaw on the bench..
✓Pogba amecheza sana consecutively na nadhani inabidi apumzike kidogo ili mechi ya Arsenal awe fresh..pia anaweza kutumika kama sub baadae kama mechi itakuwa bado ngumu,but naamini kwa kikosi hicho kwa kwanza blades bado hawatafurukuta,utakuwa ni uzembe mkubwa sana tusipopata matokeo
✓Rashford hamna haja ya kumrush,atulie benchi.
✓Let's give Telles some minutes.
✓Martial yupo out of form vibaya sana,but let see anachoweza kufanya leo
✓Amad Diallo on the bench?????..ningefurahi iwe hivyo,seeing what Bukayo Saka is doing at Arsenal inanitamanisha pia kumuona Amad taratibu taratibu akiwa analetwa karibu na first team
GGMU
Usisahau pia tuna hazina kubwa ya wachezaji vijana.
Yaah enzi hizo za babu AF man utd ilikuwa timu kubwa sana ya kuogopeka na tishioWewe kwanini unasumbua watu humu, huoni kwamba Manchester United ni timu kubwa kuliko City? Je unapinga hilo?
MATCHDAY
Hii ni game ambayo inabidi tushinde kiulani kabisa mapema..It's against blades guys ambao wanashika mkia kwenye msimamo wa EPL..Wapo kwenye form mbovu kabisa.
•••••••••
MY STARTING XI vs SHEIFIELD UNITED
=======
De Gea
AWB Bailly Maguire Telles
Matic Fred
Greenwood Fernandes Martial
Cavani
======
Rashford,Pogba,Shaw on the bench..
✓Pogba amecheza sana consecutively na nadhani inabidi apumzike kidogo ili mechi ya Arsenal awe fresh..pia anaweza kutumika kama sub baadae kama mechi itakuwa bado ngumu,but naamini kwa kikosi hicho kwa kwanza blades bado hawatafurukuta,utakuwa ni uzembe mkubwa sana tusipopata matokeo
✓Rashford hamna haja ya kumrush,atulie benchi.
✓Let's give Telles some minutes.
✓Martial yupo out of form vibaya sana,but let see anachoweza kufanya leo
✓Amad Diallo on the bench?????..ningefurahi iwe hivyo,seeing what Bukayo Saka is doing at Arsenal inanitamanisha pia kumuona Amad taratibu taratibu akiwa analetwa karibu na first team
GGMU