James Wilson, Danny welbeck, macheda, Bellion, Falcao, Owen, forlan, Alan Smith etc hawa walikuwa na viwango zaidi?
Rashford sasa hivi ni kati ya wachezaji Ghali zaidi duniani, Ukitoa Mbape na Haaland kuna kinda Gani utasema ni mzuri kuliko Rashford?
Pia Greenwood anakuzwa Bado ila nafasi yake ni Mshambuliaji wa katikati, anachezeshwa pembeni sababu hakuna mtu kule, nafasi yake itakuja Europa Akue vizuri.
Na Martial pia Ana nafasi yake, japo yupo kwenye form mbovu ila bado ni mchezaji wa kutegemewa hasa uwezo wa ku hold ambao wachezaji wengi kule mbele Hawana.
Lingard Ana nafasi kama backup player kwa kikosi cha sasa.
Bado pia tu naweza kusajili hata wachezaji watatu zaidi kule mbele kwa kikosi chetu bila kuuza mtu.