Bayern mlivyoiona kwenye UEFA ndo mnadhani ni timu ngumu kiasi hicho?
Subiri mitoano ianze, utaelewa kwamba haya mambo yana msimu na msimu.
Nikiangalia kwa undani zaidi ,uwezo,technque na tactic za wachezaji wa man utd
Harafu wakutane na damu zinazowaka moto wa anfield ,mane ,salah ,
Gin,henderson,keita
Aisee ,fab ,anord,matip ,mbaya zaidi wamepoteza game iliyopita sijaona man utd ataponea wapi hshaaaaa
Aisee hao vijana wakiwasha moto, utd mtatamani mpira uishe ,na hakutakuwa na pa kutokea zaidi ya kula goli 5+
Utd wenyew wanajua kabisa hatuponi pale anfield
City pekee ndio inauwezo wa kumpiga liverpool anfield ,waletee
★Manchester United remain the only team to stay unbeaten away from home in the Premier League this season.★
#GGMU
manutd |
View attachment 1676697
Kwahiyo hadi league iishe ndo tuongee?Mbona ligi haija isha msimu uishe ndio uje na hizo kelele.
Alianza
Eveton
Chelsea
Saton
Spurs
Sasa ni man united
Kumbuka hata spurs alikuwa hapo juu na alikutana na liverpool anfield ,uliza baada ya game nini kilitokea
United wanatamani kukaa pale juu ila uwezo hawana
4 days remain united to return back to its postion
. Kuweka msisitizo.Brother record ya Bayern munich inajieleza yenyewe...
ndani ya mwaka wamepoteza mechi tatu tu
Kuanzia trh 11/01/2020 mpaka 08/01/2020
unadhani hiyo timu inabahatisha !???
Hata U18 man united inaongoza
Hakuna timu inayobaki juu muda wote, msimu huu atakutana na timu atafungwa.
Umefatilia kwenye ligi yake msimu huu? Hafungiki?
NAZUNGUMZIA timu bora EUROPE kwa walati huu na ni BAYERN
Na kama umesoma na kunielewa nimeonesha record ya bayern amepoteza mechi ngapi na kwa kipindi gani
tatu;Hata timu iwe kali kiasi gani lazima itateleza tu na kufungwa au draw
Mbona ligi haija isha msimu uishe ndio uje na hizo kelele.
★
Kwahiyo hadi league iishe ndo tuongee?
Hata U18 man united inaongoza
kivyovyote Arteta atahitajika kubeba viatu vya ferguson ili aweze kuirudisha arsenal katika njia ilio sahihi, na ili aweze kupita njia hiyo itawalazimu bodi ya klabu pia iwe tayari kumpa hela pindi anapohitaji kuitumia kwa dhumuni la kujenga nafasi fulani ya kiuchezaji, na hiyo pesa ni lazima ikatafutiwe target ilio sahihi (asije akajigeuza wenger wa miaka ya 2007 kwenda juu)Muda wa kusubiri vijana wakomae hakuna, bado nina imani Arteta anaweza kuunga unga akapata timu nzuri, though siyo ya kuchukua ligi.
U have no idea what im talkin about..soma nilichokiandika kwanza UELEWE alaf ndo uni’quote