Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Manchester United remain the only team to stay unbeaten away from home in the Premier League this season.★

#GGMU

manutd |
IMG_20210113_194017_608.jpeg
 
Nikiangalia kwa undani zaidi ,uwezo,technque na tactic za wachezaji wa man utd

Harafu wakutane na damu zinazowaka moto wa anfield ,mane ,salah ,
Gin,henderson,keita

Aisee ,fab ,anord,matip ,mbaya zaidi wamepoteza game iliyopita sijaona man utd ataponea wapi hshaaaaa

Aisee hao vijana wakiwasha moto, utd mtatamani mpira uishe ,na hakutakuwa na pa kutokea zaidi ya kula goli 5+

Utd wenyew wanajua kabisa hatuponi pale anfield




City pekee ndio inauwezo wa kumpiga liverpool anfield ,waletee

weka akiba ya maneno mkuu..
 
Alianza

Eveton
Chelsea
Saton
Spurs

Sasa ni man united

Kumbuka hata spurs alikuwa hapo juu na alikutana na liverpool anfield ,uliza baada ya game nini kilitokea

United wanatamani kukaa pale juu ila uwezo hawana


4 days remain united to return back to its postion

Mkuu naona umemaliza na kinge hapo mwisho . Kuweka msisitizo.
 
Brother record ya Bayern munich inajieleza yenyewe...
ndani ya mwaka wamepoteza mechi tatu tu
Kuanzia trh 11/01/2020 mpaka 08/01/2020

unadhani hiyo timu inabahatisha !???

Hakuna timu inayobaki juu muda wote, msimu huu atakutana na timu atafungwa.

Umefatilia kwenye ligi yake msimu huu? Hafungiki?
 
Hakuna timu inayobaki juu muda wote, msimu huu atakutana na timu atafungwa.

Umefatilia kwenye ligi yake msimu huu? Hafungiki?

NAZUNGUMZIA timu bora EUROPE kwa wakati huu na ni BAYERN

Na kama umesoma na kunielewa nimeonesha record ya bayern amepoteza mechi ngapi na kwa kipindi gani

tatu;Hata timu iwe kali kiasi gani lazima itateleza tu na kufungwa au draw
 
Muda wa kusubiri vijana wakomae hakuna, bado nina imani Arteta anaweza kuunga unga akapata timu nzuri, though siyo ya kuchukua ligi.
kivyovyote Arteta atahitajika kubeba viatu vya ferguson ili aweze kuirudisha arsenal katika njia ilio sahihi, na ili aweze kupita njia hiyo itawalazimu bodi ya klabu pia iwe tayari kumpa hela pindi anapohitaji kuitumia kwa dhumuni la kujenga nafasi fulani ya kiuchezaji, na hiyo pesa ni lazima ikatafutiwe target ilio sahihi (asije akajigeuza wenger wa miaka ya 2007 kwenda juu)

  1. ferguson alitumia academy na tukapata wachezaji tofauti wenye ubora na hapa mifano imejaa
  2. ferguson alisajili wachezaji wenye CV za kawaida na hatimaye akawatengeneza ili waendane na falsafa zake za kiuchezaji mfano silvestre, fortune quinton
  3. ferguson alitumia fedha nyingi pale palipohitajika...rejea usajili wa ferdinand, veron, berbatov n.k
akijifanya muumini wa academy na average players mfano wa willian bwana arteta atafeli
 
Back
Top Bottom