Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa jamaa wajinga kweli rafiki yangu..Mwingine anakuambia huwezi kuwa bingwa bila kuwafunga wakubwa,nikampa mfano wa Spurs akazunguka zunguka tu.
Tatizo wanafananisha misimu..

nani alijua Leicester city angekuwa bingwa?..

Wanasahau corona nayo imeshusha sana maendeleo ya vikosi ukiongeza majeruhi.
 
Adjustments.jpg
 


huyu dogo angekuwa katika team nyingine wangemchezesha lakini Man Utd inaamini kucheza nyuma ya mpira sijui kama ataweza kutumika
 
Mourinho anakula spana tu huko..

Moto umekata kabisa
Three things are certain in life. Taxes, death and Spurs bottling the league. I can bet my life those guys hawawezi kubeba ndoo. Wanachangamsha genge tu.
Hawana ubora wa kubeba kombe labda wamalize nafasi nne za juu.

Collectively as a team, Wana execute vizuri strategy za mwalimu ila in long run siwaoni wakibeba ndoo.
Niliwahi kumuambia Bavaria maneno haya kipindi Spurs wakiwa moto sana walikuwa na alama 20 sisi tulikuwa na 11 kama sikosei walikuwa wanaongoza ligi.

Washindani wa kweli kwa sasa ni Liverpool japokuwa watu wengi wanamfikiria Manchester City ila sioni kama wanaogopesha msimu huu naamini watamaliza nafasi ya tatu au nne. Mwezi wa pili utakuwa mchungu sana kwa City kama Pep akichanga karata vibaya unaweza kumuharibia pakubwa sana.

Kama kweli tunataka kombe main target yetu iwe kuhakikisha gap letu na Liverpool linakuwa kubwa zaidi kila tukiingia uwanjani. Hawa jamaa wapo vizuri sana ila wana-struggle na players fatigue kama wakitulia wanaweza kuwasha moto.
 
Niliwahi kumuambia Bavaria maneno haya kipindi Spurs wakiwa moto sana walikuwa na alama 20 sisi tulikuwa na 11 kama sikosei walikuwa wanaongoza ligi.

Washindani wa kweli kwa sasa ni Liverpool japokuwa watu wengi wanamfikiria Manchester City ila sioni kama wanaogopesha msimu huu naamini watamaliza nafasi ya tatu au nne. Mwezi wa pili utakuwa mchungu sana kwa City kama Pep akichanga karata vibaya unaweza kumuharibia pakubwa sana.

Kama kweli tunataka kombe main target yetu iwe kuhakikisha gap letu na Liverpool linakuwa kubwa zaidi kila tukiingia uwanjani. Hawa jamaa wapo vizuri sana ila wana-struggle na players fatigue kama wakitulia wanaweza kuwasha moto.
Hi there!

Umepredict well.
 
Hi there!

Umepredict well.
Mpaka sasa man utd hana uwezo wa kumfunga

Man city

Liverpool

Mbaya zaid haya arsenal anawapiga


Then unasimama kusema utd inaweza kuchukua EPL hahaaa


Mkitoa sare tu na Liverpool ,ambapo ndio ushindi wenu ,tayar city anakuwa amewapita point mbili mbele akishinda viporo na kuongoza league
 
Back
Top Bottom