Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Nayo ni mtuMnefunga na nyie offside basi. V.A.R. Haikuwepo?
Nayo ni mtuMnefunga na nyie offside basi. V.A.R. Haikuwepo?
kijana wahi kazini acha maneno ya wavaa maderaNyie NYUMBU aka PUNDA Kama PUNDA mpaka sasa bado mmelala tu
Msimu huu ni moja tu.Kwani nusu fainali si huwa ni game mbili?
Wapuuzi wapo kama wakina Dada kusifia tuHizi umbwa tukiziambia hazina timu hazitaki kuaamini. Ngoja mpigwe pigwe kwanza
#COYG
#COYG
Ata mkirudiana mtapapaswa tu vizuri uko kudogoMsimu huu ni moja tu.
Hapo ishakula kwetu.



Hata man u hawakuwa na shogacavaniBall possession of 39% explains why Manutd shots on target were a measly 2.
Both midfielders McTominay and Fred kept giving away balls cheaply and never had a single shot on target.
With such poor midfield stats, Manutd summer priorities ought to be to buy Grealish from Aston Villa or will never win anything tangible.
ManCity will win the league because without Aguero or Jesus they are still a complete teamView attachment 1670693View attachment 1670694
Msimu huu ni moja tu.
Hapo ishakula kwetu.
Manchester united wanaweza kubeba makombe chini ya ole kama atatafuta washambuliaji wa 3 mpira anaofundisha si mbaya shida ni umaliziaji bruno ana goli nyingi kuliko washambuliaji wake
Kwa mfano mtu kama martial anavaa jez na 9 anacheza kama kipa bota awe anadaka tu leo mara 3 anaomba penat wakat uwezo wa kufunga alikuwa nao
Gafla umekuwa mpole.Kuchanika kwa jamvi sio mwisho wa maongezi.
Mfano kweli mkamsajili Grealish kama mnavyotaka halafu atacheza wapi?
Kuna wachezaji wako vizuri wakiwa timu A as huko wanakuwa treated as gods. Kila anayepata mpira anampa yeye, yeye anaamua uende wapi. Na nyinyi mtu huyo mnaye tayari, Fernandes, na wanacheza namba moja.
Ikatokea Grealish kaja maana yake aanze kupambania namba na Fernandes. Jambo gumu ukizingatia huko alipotoka yeye ndiye mungu wao, na hata akipambania am sure atashindwa as Fernandes ana stats nzuri kumzidi.
So sioni huu uhamisho ukiwezekana. Labda kama atakuja kwa kuhitaji pension ya kuzeekea. Ni kama Song alivyoenda Barcelona kugombea namba na Busquets, au Donnarumma anavyohusishwa na chelsea.
Aje tu ili Bruno wkt mwingine awe anapumzika.
Kweli kabisa mkuu, kocha mwenyewe hajui kuwatumia bora wabaki huko huko.Mkuu mbona yupo Van de Beek?
Unajua me sielewi kwanini Sorskjaer amuamini huyu mwamba!
Hapa kwa Grealish tunaenda kupata hasara.
Hizi umbwa tukiziambia hazina timu hazitaki kuaamini. Ngoja mpigwe pigwe kwanza
#COYG
#COYG
Nyie NYUMBU aka PUNDA Kama PUNDA mpaka sasa bado mmelala tu