Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,179
- 2,084
Kwahiyo mkuu unaona timu yako imekamilika? hamna mfumo wakucheza kama timu zaidi ya kutegemea mchezaji mmoja mmoja huoni mshaaza kumkumbuka cavani nyie ni wepesi sanaHahaha bongo bana baada ya kufungwa ishakuwa mbov kabla ya hii mech hujui kama tulishafungwa na timu zingine? City alipigwa na leicester city 5 tena kwake ni timu mbovu?
Hili mlilotolewa leoKombe gani tutalikumbuka?
Mkuu hii lugha siyo kawaida yako.Kocha km ataendelea kuuamini huu mku..n.d..u ku..n...u...ka utatughalimu sn.
Man Utd inawachezaji wa kutosha kuchukua kombe lolote kwa level ya club
1. ManCityTOP 4 EPL 20/21
1. ___________________
2. ___________________
3. Manchester United
4. ___________________
Kweli kabisa ngoja saa 5 ifikeLeo man u kushinda ipo njee kabisa mana tupo vizuri kukosa tofauti ma city wachezaji wengi wanacovid19 so akija kwa mfumo alio kuja nao Chelsea atapasuka vibaya sana
Man u wanajua kufunga toka lini boss?My prediction - A case for replay
Manutd 2-2 ManCity - (FT)
BTTS
O2.5
Kevin De Bruyne to score at any time.
Corners U7.5 either side
Ball possession
ManUtd 42% - ManCity 58%
Visingizio mapema.HAPO KWA LINDELOF ANGEMUWEKA BAILY, HII NGOMA INGEKUWA TAMU SANA.View attachment 1670249
Hamna team. Nyie kina omary tego.baily muhimu leo
Man u mpate goal mbili mbele ya city acha utani mkuu.Tunashinda 2 : 1
Wakati anakuja mlimuita Ramos wa kiingereza kiko wapi Bora hata serge Pascal wawa sultane.Ila magwaya ameshindwa kuprove thamani yake..hazungumziwi sana kwasababu ni muingereza ila kiukweli ni beki wa kawaida sana..sanaa
Hamchomoi kweli?Huyu mcheza rafu nae katufuma!