Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Acha ujinga dogo.Wapuuzi wapo kama wakina Dada kusifia tu
Sisi tuko juu ya msimamo wa ligi, acha tufanye yetu.
Hatuwezi kutokwa na kijasho cha ulimi kisa kombe la mbuzi na mchele kilo 50.
Tarehe 17 nafuta makosa.
