Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bruno is an exquisite penalty finisher
IMG_20210102_120114_571.jpg
 
Manutd to win any silverware must dominate possession which they are not, so far
Needs to stop give aways of corners and free kicks

Screenshot_2021-01-02_121112.jpg
Screenshot_2021-01-02_121116.jpg
 
Nafikiri ndiyo kamaliza. Kama ana ukali uliobaki basi hautazidi misimu miwili. Alioanza nao kama wakina Mbappe tusemeje? Au Haaland
We nae chuki imekuzidi ushawahi ona wapi mchezaji anafikia peak akiwa na 23yrs.
 
ile nguvu tulioitumia kupambana na michael zorc kwa ajili ya usajili wa sancho ni bora tuielekeze kwa grealish dirisha lijalo
Mkuu Baba Chicco (ambaye naamini ni daemusin aliyejigeuza jina),nakubaliana na wewe kuhusu ubora wa grealish lakini je atatoa huduma tuliyoihitaji toka kwa sancho kama wideman upande wa kulia? Maana kwa mechi ya jana nilimuona kama namba 10 (ya bruno) zaidi kuliko mtu wa pembeni
 
Back
Top Bottom