Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1st goal. Martial
1609559610227.gif
 
Man Utd sio kuchukua ubingwa tu

Bad News nikuwa

Haina uwezo hata wa kukaa top of the table

Ni swala la muda tu
 
mkuu huyu Joshua Kimmich hawajakosea hata kidogo kumfananisha na fundi Bruno mi naona wote ni wachezaji bora isipokuwa kila mmoja kuna anachomzidi mwenzake,kwangu mimi kiungo bora kwasasa ni Bruno ila ukiwa na Kimmich anakupa zaidi ya kile unachohitaji coz anaweza kucheza nafasi nyingi kwa ufanisi zaidi ya mchezaji yeyote duniani.
Hata Kimmich angekua man u hii asingeonekana lolote
 
Back
Top Bottom