Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Duh! jasho limetutoka kwa ushindi huu anae jua OGS ile sub ya Bruno na kumuacha ndani Fred na mac wakirandaranda mule ndani naomba anieleze kitaalam
dah kuna muda tunamuonea sana Ole kwa kuamini kila sub anakosea japo kuna wakati huwa anakosea kweli,muda ambao alimuingiza James ilikua tayari tunaongoza kwhy aliamua kulinda goli lkn pia kwa kuweka mtego wa kupata goli lingine na sio kupaki bus kama anavyofanyaga Mou.
 
manutd |
IMG_20210103_003336_891.jpeg
 
mkuu hata majeruhi pia yanatugharimu sana,,

Hivi mfano rashford,, Cavan ,,martial,Fred,, fernandez wawe wajeruhi,,

Timu itakuwa sawa?

Ndy maana nikasema tuombe timu isipate majeruhi,,

Wachezaji wawe fit wote first 11.
Wakipata hiyo crisis mnaenda academy, ipo hivyo. Hauweze kuwa na wachezaji wengi high class kama kinga ya majeraha, ni cost
 
dah kuna muda tunamuonea sana Ole kwa kuamini kila sub anakosea japo kuna wakati huwa anakosea kweli,muda ambao alimuingiza James ilikua tayari tunaongoza kwhy aliamua kulinda goli lkn pia kwa kuweka mtego wa kupata goli lingine na sio kupaki bus kama anavyofanyaga Mou.
Fred toka mwanzo alionekana kupwaya yeye na mac ikawa wanafanya wanayoyajua wao so mapema tu matic angeingia niishie hapo kwanza
 
Vp January hii Kuna mpango wa kusajiri kweli?
cion kama man u itafanya usajil mkubwa sana ndan ya jan hii zaid ya yule dogo wa America Caicedo waje kuungana na facundo pellistri na A.Diallo wa atlanta wakacheze Man u-23 wapate uzoefu wa lig ya Uingereza
 
cion kama man u itafanya usajil mkubwa sana ndan ya jan hii zaid ya yule dogo wa America Caicedo waje kuungana na facundo pellistri na A.Diallo wa atlanta wakacheze Man u-23 wapate uzoefu wa lig ya Uingereza
Caicedo kama anakuja ni straight kikosi cha kwanza, ni mzoefu tofauti na hao wawili umri wake usikudanganye.

Qualifier amekiwasha sana na Ameshadominate midfield za kina Rodriguez, bantacur, velverde etc.

Na jamaa ni Dm, kwa kikosi chetu tunamuhitaji sana.

Diallo wametaka kumchukua kwa mkopo Atlanta ila Ole amekataa Hivyo at least atatrain na timu ya wa kubwa.
Vp January hii Kuna mpango wa kusajiri kweli?
Tetesi ni huyo Moises Caicedo.
 
Back
Top Bottom