ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Tuna game tatu za nguvu tukianzia kesho
Tuna game tatu za nguvu tukianzia kesho
Tuna game tatu za nguvu tukianzia kesho
Henderson hapo si sawa kabisa.Bonge la timu hiliView attachment 1656757
hahahaha mkuu pale mbele tukiuza martial tukamchukua benteke tunabeba EPL febr






Sauti ya kukata tamaa hiiNYUMBU ni NYUMBU tu maisha yake yote na hawezi kubadilika.




Hiyo timu itacheza bila DM ?Toa Henderson weka Pogba , GGMU
Hiyo timu itacheza bila DM ?Toa Henderson weka Pogba , GGMU
Anaweza kufikia record ya kufunga goli nyingi zaidi au kuwa na appearance nyingi zaidi★Mimi mwenyewe nimestuka sana nikasema huenda nimekunywa Chai muda umeenda sielewi alichoongea★
Mimi ni UTD FAN hii picha hua inanichekesha Sana



Huyo ndo Papaa Gx kwenye ubora wake, yn picha zake mbili hzo hzo anaweza akazipost hzo hzo mpk kuna kuchaMimi ni UTD FAN hii picha hua inanichekesha Sana
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app



Huyo ndo papaa gx kwenye ubora wake, yn picha zake mbili hzo hzo anaweza akazipost hzo hzo mpk kuna kucha![]()


ushabiki ukiwa na hasira hutauweza aisee 



Duniani kuna vituko sana, hii NYUMBU nayo inawaza ubingwa 



Ole anatakiwa aumize ndonga kwa Klop, maana kinyume chetu simuoni wa kumzuia.
Ili tuwe na uhakika wa ubingwa tunahitaji tumchinje Jogoo.
Na Jogoo kwa sasa kaota meno, ana ng'ata kinoma.
Kwa hiyo Sorkjaer anatakiwa aumize ndonga ni silaa gani ya kutumia kumdhibiti jogoo.
Nina uhakika tukimla Jogoo na kummaliza tayari tutakua na afya ya kuchukua mwali.