Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unasema
Sauti ya kukata tamaa hii
tapatalk_1599743898325.jpeg
 
With a game in hand the difference in points between Manchester United and Liverpool could be just two points...looks like Christmas is knocking for Manchester United
Screenshot_2020-12-22_192500.jpg
 
Duniani kuna vituko sana, hii NYUMBU nayo inawaza ubingwa
Ole anatakiwa aumize ndonga kwa Klop, maana kinyume chetu simuoni wa kumzuia.

Ili tuwe na uhakika wa ubingwa tunahitaji tumchinje Jogoo.

Na Jogoo kwa sasa kaota meno, ana ng'ata kinoma.

Kwa hiyo Sorkjaer anatakiwa aumize ndonga ni silaa gani ya kutumia kumdhibiti jogoo.

Nina uhakika tukimla Jogoo na kummaliza tayari tutakua na afya ya kuchukua mwali.
 
Back
Top Bottom