radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
leicester city anashinda goli nyingi sanaEndelea kukalili
leicester city anashinda goli nyingi sanaEndelea kukalili
Pengine mpira unaangalia juujuu tuHenderson hafai kuwa hapo
Nyie nao mmeanza taarabu kama Arsenal, dawa yenu iko jikoni. Nyie na Arsenal ni ndugu kabisa yaani mkianza kushinda shida baaaasi kelele na kejeli mnapenda sana
Anaeongoza ligi mpaka christmas ndie bingwa huyo.....
Mmesahau hii falsafa ndugu zangu sie ubingwa wetu msimu huu ni kumaliza nafasi ya pili....
Asante sana Mkuu kwa kuwachana hawa watu....Wanazingua sanaKuna watu wanapenda wakija hapa wasikie analaumiwa solskjaer na wachezaj kisha tunamalizia hatuna timu hapa basi wanafurahi wakiona mmepost timu ambayo wao wanategemea itawafunga kisha nyie mkasema tunashinda wanaziita taarabu hayo maumivu ni yenu sisi hayatuhusu kila mmoja aumie na timu yake sio unabeba stress za timu yako na timu nyingine utakufa mimi nabeba stress za timu yangu sina habar na timu zilizo nje ya manchester united
1. Watu wa sampuli hizi hawajui kama mpira ni tambo na maneno ya kibabe hakuna mshabiki mnyonge kwenye timu yake ikitokea mpinzani kashinda basi hilo jambo lingine
Ila hapa unyonge mwiko mimi ni manchester united na najivunia kuwa mshabiki wa manchester united kila kitu timu ilichoshiriki imebeba kwa nini nijutie?
Sio miaka yote lakiniAnaeongoza ligi mpaka christmas ndie bingwa huyo.....
Mmesahau hii falsafa ndugu zangu sie ubingwa wetu msimu huu ni kumaliza nafasi ya pili....
Toa Henderson weka Pogba , GGMUBonge la timu hiliView attachment 1656757
Kwa ninavyomjua Levy...ukijipeleka hapo kwa Kane anakwambia 200 bei ya rejareja...bei ya jumla 150 na vijisent kadhaa
Ukiacha zile hold-up anazotengeneza Martial, finishing yake haiko vizuri msimu huu. Japo Rashford nae sio complete no.9 ila natamani ndo aongoze pale kati. French boy atokee left.....Kikosi kiko sawa ila Everton wana kasi, ole anaweza mweka scoty na fred pale dimba la kati...Paul akaanzia benchMy Starting XI vs Everton
De Gea
AWB Lindelof Maguire Shaw
Fernandes Fred Pogba
Greenwood Martial Rashford
Arsenal wako wapi na man united iko wapi? Kama ww ni shabiki wa chelsea pls go back to your caveNyie nao mmeanza taarabu kama Arsenal, dawa yenu iko jikoni. Nyie na Arsenal ni ndugu kabisa yaani mkianza kushinda shida baaaasi kelele na kejeli mnapenda sana
Scott alitolewa juzi..nadhani aliumia..i don't think atakuwa fitUkiacha zile hold-up anazotengeneza Martial, finishing yake haiko vizuri msimu huu. Japo Rashford nae sio complete no.9 ila natamani ndo aongoze pale kati. French boy atokee left.....Kikosi kiko sawa ila Everton wana kasi, ole anaweza mweka scoty na fred pale dimba la kati...Paul akaanzia bench
Mm mwenyewe napata mashaka sana bora tumkose mech ya everton awepo mech ligi ni muhimu sanaScott alitolewa juzi..nadhani aliumia..i don't think atakuwa fit
Yes game ya Leicester akamate dimba na mtoto wa kibrazili FredMm mwenyewe napata mashaka sana bora tumkose mech ya everton awepo mech ligi ni muhimu sana