Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole anatakiwa aumize ndonga kwa Klop, maana kinyume chetu simuoni wa kumzuia.

Ili tuwe na uhakika wa ubingwa tunahitaji tumchinje Jogoo.

Na Jogoo kwa sasa kaota meno, ana ng'ata kinoma.

Kwa hiyo Sorkjaer anatakiwa aumize ndonga ni silaa gani ya kutumia kumdhibiti jogoo.

Nina uhakika tukimla Jogoo na kummaliza tayari tutakua na afya ya kuchukua mwali.
 
Utd tunamkimbiza mwizi kimya kimya, mpaka Sasa endapo tunashinda kiporo gap letu na wanaoongoza litakuwa two points !!!

Guys we really need this consistency,,,,!!!!

Kwenye top 6 inawezekana utd ndio ilikuwa most underrated lakini kibao kimegeuka,,,
Tulianza msimu ovyo sana , mpaka arsenal wakaja na Tambo kwamba wao Ni tittle contenders ,,,,!¡!!

Bado hatujafika hatua ya kujiita title contenders, but we are almost there , tuendelee na hii form then January mwishoni tutaongea mengine !!


Ole at the wheel

#GGMU
 
tulia wewe, muda siyo mrefu tunampumulia jogoo matakoni
We kweli kitombise yaan kitu kidogo tu mmeshindwa kupata point 1 kwenye games 2 ili ziwawezeshe mfuzu kwenda hatua ya 16 ndo utegemee under ole mchukue ubingwa....hizo timu zingine zimekufa au
 
Mkuu hii consistency inaisha weekend tu hapo na Leicester mark my words
Utd tunamkimbiza mwizi kimya kimya, mpaka Sasa endapo tunashinda kiporo gap letu na wanaoongoza litakuwa two points !!!

Guys we really need this consistency,,,,!!!!

Kwenye top 6 inawezekana utd ndio ilikuwa most underrated lakini kibao kimegeuka,,,
Tulianza msimu ovyo sana , mpaka arsenal wakaja na Tambo kwamba wao Ni tittle contenders ,,,,!¡!!

Bado hatujafika hatua ya kujiita title contenders, but we are almost there , tuendelee na hii form then January mwishoni tutaongea mengine !!


Ole at the wheel

#GGMU
 
We kweli kitombise yaan kitu kidogo tu mmeshindwa kupata point 1 kwenye games 2 ili ziwawezeshe mfuzu kwenda hatua ya 16 ndo utegemee under ole mchukue ubingwa....hizo timu zingine zimekufa au
Hicho sio kipimo na huwezi ukapata majawabu kwa mtindo huo ina maana liverpool kupigwa 7 na aston villa kwamba liverpool ni timu mbovu?
 
mnawachukulia wajerumani poa sababu mnamuona Bayern ndiye bingwa kila msimu ila tambua kwamba hata Bayern apelekwe England atawasumbua kama anavyosumbua huko ujeruman
Ligi Uingereza inatimu zinazofanana viwango that's why inaonekana ni ligi ya ushindani
Ila umchukue huyo RB unaemuona poa atakuwa kama Liverpool anayeonekana bora uingereza
Tatizo mshindani wa kweli kwa Bayern ameamua kuwa mfanyabiashara muuza wachezaji nje ya hapo sijaona kitu Bundesliga

Ushindani angalau tunauona Serie A , mfano Napoli chini ya Maurizio Sarri walifikisha point zaidi ya tisini ila hawakuchukua ubingwa , Clubs kama AS Roma ,Milan zote mbilj,Napoli always unaona wanapambania kuchukua Ubingwa tofauti kabisa na hali iliyopo Ujerumani
 
Back
Top Bottom