We jamaa huwa unanchekesha sn aisee, ww na papaa gx a.k.a mzee wa ban mnatabu sn![]()
Labda kuna ujumbe anaufikisha zaidi ya kilichoandikwa.
Maana sidhani kama kweli ana maanisha kwamba mngefunga goli 12 kisa tu kuna washabiki.
★Oooh hata mimi sijamwelewa vizuri maana kakomalia na sio Post ya Kwanza hii kusema hivyo 12-4 sijaelewa alimaanisha nini★
Wa wapi?Moises Caicedo..Nimemkubali huyu dogo..Tumsajili aisee.
In the near future tutakuwa na Talent nzuri za kutupigania.

alizocheza zilotoa boko nikama asilimia 12½ kati ya 100%★

Lini?My Starting XI vs Everton
De Gea
AWB Lindelof Maguire Shaw
Fernandes Fred Pogba
Greenwood Martial Rashford
★IG: When Bruno Fernandes has to leave for work
️
...
Sasa kajitu kama Lingardinho mwanae akalilie★
#GGMU
manutd | View attachment 1656920View attachment 1656921



Lingard
★
Lingard
Kesho...23:00PM EATLini?
★Hata mke hanaga shida anajua kanaenda kukaa benchi tu hakata umizwa Pitch★



hivi Lingard kaoa?hivi Lingard kaoa?
Rashid si anakaa kwao?★Nazani kasogeza tu kama Ndugu ake rashid Makame★
Tunamgonga mtu wallahKesho...23:00PM EAT
Rashid si anakaa kwao?
Aisee★Yupo Ghetto afu kumbuka hao wazungu huenda Demu yupo ukweni★