Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,038
- 51,580
Hiyo ni hela ya kawaida kwa timu kama united. anyway pesa sio issue. Results
Hiyo ni hela ya kawaida kwa timu kama united. anyway pesa sio issue. Results
Ni mapema sana. Ila position aliyocheza leo imemfanya aonekane.Hivi nikisema Mac Tomney ni Pau schools mpya nitakua nimekosea?
Fred mbona yupo rated low wakati alikuwa na tackles, recoveries nyingi zaidi na amegusa mipira mingi
Timu yako inacheza carabao halafu una diss europa hizo nguvu unapata wapi au timu yako huwa haichez carabao?Ushindi kidogo mmesahau mpo Europa





Bado sana mkuu tena sana scholes hata yale mapasi marefu anakupigia kitu ambacho scott hana Rooney na Scholes nilikuwa nainjoi sana upigaji wao wa pasi tunahitaji sana watu kama hawaHivi nikisema Mac Tomney ni Pau schools mpya nitakua nimekosea?
Alitusumbua sana na athletic bilbao mwaka 2010 kama sijakosea mi sijamuonea huruma solskjaer kakataa apigwe baba na mtoto kalipa zile goli 4 na ka chenji juu ander herrera na martinez walitukimbiza sanaJapo tumeshinda ila leeds kufungwa magoli yale nimeionea huruma kweli!!
Kwa mlio fwatilia historia ya kocha wa Leeds (Biesla) mtanielewa!!
Hauja ongea bado, utaongea maneno ya kila rangi.Wazee siku hizi naona mnapiga sita sita tu ..hongereni kutamba kwa zamu. Ni zamu yenu sasa
#CFC![]()
Kwahiyo mtu akichimba madini habeti?Unabetije wakati unachimba madini wewe ..acha ufalaa![]()
Hv kumbe ndio alikua kuleAlitusumbua sana na athletic bilbao mwaka 2010 kama sijakosea mi sijamuonea huruma solskjaer kakataa apigwe baba na mtoto kalipa zile goli 4 na ka chenji juu ander herrera na martinez walitukimbiza sana
Hajafika hata robo ya Paul katika shughuli zake yule Paulo (Paul )wamuache apumzike nimewanukuu wanasiasa wa bongoBado sana mkuu tena sana scholes hata yale mapasi marefu anakupigia kitu ambacho scott hana Rooney na Scholes nilikuwa nainjoi sana upigaji wao wa pasi tunahitaji sana watu kama hawa
Hayo madini gani mzee, nipe kazi uko nije mzee wa kazi..kuwa kuwauzia chakula na matunda, nyie ni mafogo.Kwahiyo mtu akichimba madini habeti?
We haushangai tuna chati hapa.
Maana yake nilipo ni karibu na mjini, na mimi naishi mjini (montepuez) porini nachimba mjini naishi.
View attachment 1655855
Hahaha Hongera kidogo tu umevimba kichwa.Hauja ongea bado, utaongea maneno ya kila rangi.
kimzaha mzaha mara kombe kachukua man united sijui utaficha wap mkalio + uso wakoutakua na njaa ww sio bure. au umepita porin ukaskia ile haruf ya waliwali nyoka anayoitoaga akitafuta kitoweo