Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Eeeh haya ngoja niisave hii bora ungesema liverpool ...yaan united haaaaahaaaa duh
Kwa faida yako tu mkuu
IMG_20201221_172033.jpg
 
Hizi taarabu ndio huwa zinawaponza
Huu woga utaisha lini kwani ile liverpool au manchester city? Hata kwenye makaratasi ushindi anapewa manchester united hawezi kupewa leicester city kamwe hamna cha taarabu hapo ila kama kila jambo kwako ni kubwa ndivyo akili yako inavyokuwa

Hizo hapo ni takwimu muwe mnafuatilia mambo kabla hamjaja kukosoa post za watu timu kushinda ni jambo lingine
IMG_20201221_172033.jpg
 
Nyie nao mmeanza taarabu kama Arsenal, dawa yenu iko jikoni. Nyie na Arsenal ni ndugu kabisa yaani mkianza kushinda shida baaaasi kelele na kejeli mnapenda sana
Rudi kwenye jukwaa lako la chelsea usiwapangie watu wenye timu yao jambo la kupost watu wanatakiwa kufurahia timu yao ikifungwa wanahuzunika sasa hata ikishinda unataka kuwafanya waishi kinyonge? Nenda kule acha watu wajimwage hapa tukifungwa tunahuzunika tukishinda tunafurahia kama zimekuuma zile 6 pole sana
 
Kuna watu wanapenda wakija hapa wasikie analaumiwa solskjaer na wachezaj kisha tunamalizia hatuna timu hapa basi wanafurahi wakiona mmepost timu ambayo wao wanategemea itawafunga kisha nyie mkasema tunashinda wanaziita taarabu hayo maumivu ni yenu sisi hayatuhusu kila mmoja aumie na timu yake sio unabeba stress za timu yako na timu nyingine utakufa mimi nabeba stress za timu yangu sina habar na timu zilizo nje ya manchester united

1. Watu wa sampuli hizi hawajui kama mpira ni tambo na maneno ya kibabe hakuna mshabiki mnyonge kwenye timu yake ikitokea mpinzani kashinda basi hilo jambo lingine

Ila hapa unyonge mwiko mimi ni manchester united na najivunia kuwa mshabiki wa manchester united kila kitu timu ilichoshiriki imebeba kwa nini nijutie?
 
Endelea kukalili
Huu woga utaisha lini kwani ile liverpool au manchester city? Hata kwenye makaratasi ushindi anapewa manchester united hawezi kupewa leicester city kamwe hamna cha taarabu hapo ila kama kila jambo kwako ni kubwa ndivyo akili yako inavyokuwa

Hizo hapo ni takwimu muwe mnafuatilia mambo kabla hamjaja kukosoa post za watu timu kushinda ni jambo lingineView attachment 1656752
 
Back
Top Bottom