Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mnawachukulia wajerumani poa sababu mnamuona Bayern ndiye bingwa kila msimu ila tambua kwamba hata Bayern apelekwe England atawasumbua kama anavyosumbua huko ujeruman
Ligi Uingereza inatimu zinazofanana viwango that's why inaonekana ni ligi ya ushindani
Ila umchukue huyo RB unaemuona poa atakuwa kama Liverpool anayeonekana bora uingereza🚮
🚶🚶🚶

mnawachukulia wajerumani poa sababu mnamuona Bayern ndiye bingwa kila msimu ila tambua kwamba hata Bayern apelekwe England atawasumbua kama anavyosumbua huko ujeruman
Ligi Uingereza inatimu zinazofanana viwango that's why inaonekana ni ligi ya ushindani
Ila umchukue huyo RB unaemuona poa atakuwa kama Liverpool anayeonekana bora uingereza🚮
🚶🚶🚶
Hivi kweli bro, Unalinganisha Liverpool na Rb leipzig?...serious?

Hata kama huipend Liver ,tafadhali tupe heshima tunayostahili,..
Ujue sie ndo mabingwa watetezi...na msimu huu ni wetu....

We na pundamilia yako subiria huko 2022/202023 Angalau utaambulia chochote...but his deason is ours,..period
 
We win together .... We loss together
IMG-20201220-WA0096.jpg
 
Martial amepoteza composure kabisa mbele ya goli..

Lakini i have to admit that Martial akiwepo mbele hold up play na link up play zake zinasaidia sana.

But french boy amepoteza uwezo wa kufunga kabisa this season.
 
Back
Top Bottom