Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,273
Hivi ni nani yule alie kosa huruma kwa kumsusia pasi Ile pogba nae mpira ukajaa mguuni vizuri!
hivi mkuu unajua leo tumeeka record ya Epl? mechi 5 mfululizo comeback tunafanya, tunafungwa sisi tunafanya sub anaeingia analeta impact timu inashinda, unasema vipi ole hajui kufanya sub? huo ushindi unatoka wapi?
Still bado ni confidence kwa wachezaji hatakama wakifungwa wanaimani watarudisha,I see there is +ve spirit (fighting spirit among players is coming back sijui aliwaambia nini half time).Mkuu huu ushindi kwa come back sio salama
Ni rekodi... SAWA
Lakini ni meaningless rekodi
Kuna muda/kipindi huu utaratibu utatu cost, na kwa mbaaaali ninahisi utatu cost UCL
Ole anashinda kubwa sana kwenye kufanya team selection (siku hizi kwenye hilo eneo ana improve) na sub
Still bado ni confidence kwa wachezaji hatakama wakifungwa wanaimani watarudisha,I see there is +ve spirit (fighting spirit among players is coming back sijui aliwaambia nini half time).
**I believe Ole hajawaambia wawewanafungwa kwanza.
Naungana na Chief Mkwawa (good things take time)
Wape salam zao,A sleeping giant is awaken.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
The man of the moment...Bruno FernandesHivi ni nani yule alie kosa huruma kwa kumsusia pasi Ile pogba nae mpira ukajaa mguuni vizuri!
Last season and this season naona kuna utofauti yet league haijaisha.Niliwahi kusema Ole anaonekana ni mzuri sana kwenye hamasa, kuweka spirit ya ku fight... Nikasema ndio maana huwa tunashinda zaidi mechi kubwa
Lakini kwenye suala la mbinu ni average coach
Ole huu ni mwaka wake wa 2 huu, sijui muda tunaosema apewe ni upi huo
Telling ball ile yaani mpira wenyewe unakuelekeza uupeleke wapi! sijui kwa nini tunakuwa kama tractor mpaka lichanganye muda umekwenda.The man of the moment...Bruno Fernandes
Last season and this season naona kuna utofauti yet league haijaisha.
It seems Ole is unlikable tu.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
2nd half ukiangalia unasema hii timu inaenda kubeba EPL asubuhi na mapema..lakini ukirejelea ile 1st half unabaki umeduaa..Na hii ndo shida ya United hii ya Ole..You don't know what you gonna get with this team really..Tuna kikosi kizuri kushinda vyote toka zama za mwisho za fergie na post fergie..Telling ball ile yaani mpira wenyewe unakuelekeza uupeleke wapi! sijui kwa nini tunakuwa kama tractor mpaka lichanganye muda umekwenda.
Ni sawa si ushindi salama, ila atleast ni point kwamba anajua kufanya subMkuu huu ushindi kwa come back sio salama
Ni rekodi... SAWA
Lakini ni meaningless rekodi
Kuna muda/kipindi huu utaratibu utatu cost, na kwa mbaaaali ninahisi utatu cost UCL
Ole anashinda kubwa sana kwenye kufanya team selection (siku hizi kwenye hilo eneo ana improve) na sub
Rudisha ile Avatar plz.
Huyu inatakiwa awe juu kabisa kimkwanja japo ningependa apandishwe taratibu co km makosa yaliyofanyika kwa hawa wasenge wengine ambao walipandishwa mishahara ghafla tuu.Mkwanja unamhusu View attachment 1642831
Ma Chelshit, ma Arse8 na ma Liverfool yamenuna na hayataonekana humu leo
It was pure RVP style.Ile first touch and turn ya greenwood mpaka kafunga ya kinyama Sana. GGMU