Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Good..

✓Pogba limetulia sana leo..

✓Bruno Fernandes ndo mchezaji bora EPL so far IMO..

✓Rashford anakera siku mojamoja..huyu Martial kawa hovyo sana..kujituma hajitumi..bure kabisa

✓3pts well derseved

✓Henderson naye yumo guys

Next:KAZI NGUMU UJERUMANI JUMANNE
 
Now ni wakati wa kumpa Cavan nafasi martial atulie ajifunze ukichek magori yote tumefunga baada ya yeye kutoka maan alikuwa anatia gundu tu

Greenwood ni mzuri sanaa kuliko Martial akikaaa 9
 
Back
Top Bottom