The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Ameshaanza kuelewa japo kimoyo moyoSubiri mkwawa akuletee takwimu mkuu.



Ameshaanza kuelewa japo kimoyo moyoSubiri mkwawa akuletee takwimu mkuu.



Unajua mpira kweli wewe?Timu imejaa wabaguzi wa rangi kama wakina cavan..acha mliwe tu pumbavu
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Leipzig kwao ni biashara nyingine
Paragraph ya pili ndo sahihi.mechi ya kesho dhidi ya west ham itachezwa muda gani?
hii ratiba niliyoiangalia inasema ni saa 11:30 na mechi ya chelsea ni saa 2:30.
nimesikiliza redio fulani wanasema mechi ya chelsea ni saa 5 usiku.
kama mechi ya chelsea ni saa 5 usiku basi mechi ya man utd ni saa 2:30 usiku.
nahitaji jawabu sahihi
ahsante sana...Paragraph ya pili ndo sahihi.
Kilichotokea kwa Cavani ni muingiliano tu wa lugha na tafsiri ya maneno. Kwa mfano hapa bongo unaweza kumuita demu mweusi kwa kutumia neno "Cheusi" au mtu mweupe kwa kumuita "White" na isiwe shida. Ila kwa nchi zenye matukio mengi ya ubaguzi wa rangi maneno kama haya lazima yalete mkanganyiko.Timu imejaa wabaguzi wa rangi kama wakina cavan..acha mliwe tu pumbavu
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ila hamsemi hilo goli moja vs psg limetokana na deflection yake? Na yeye pia ametengeneza nafasi mbili ambazo wenzake wamekosa?Ameshaanza kuelewa japo kimoyo moyo![]()
Huna akili wewe kiazi.




angalia hili lipunda la migodini Watoto wa Hilter watawalala maana nyie mkiguswa tu hamchomoiLeipzig kwao ni biashara nyingine
Leipzig 2 - 2 Manutd
BTTS




Kiufupi Cavan ni rasist na ataicost manure Hadi mje shtuka mtakuwa na adhabu za kutosha.Kilichotokea kwa Cavani ni muingiliano tu wa lugha na tafsiri ya maneno. Kwa mfano hapa bongo unaweza kumuita demu mweusi kwa kutumia neno "Cheusi" au mtu mweupe kwa kumuita "White" na isiwe shida. Ila kwa nchi zenye matukio mengi ya ubaguzi wa rangi maneno kama haya lazima yalete mkanganyiko.
Ila kwakuwa wewe ni hater, naomba tu kujua unateseka ukiwa pande zipi?![]()
Kama munapigwa kwanini tusije kuwapa pole huku tunacheka@Ollachuga Oc yupo zaidi kwenye uzi wa Man u kuliko wa chelsea.



