






















































































matakataka yamelalwa kwao aaahahahaha






Angalia hili litakatakaLiverpool, Chelsea na ....nikiwachapa ubinhwa njenje







Hahaha ikawaje mkaliwa nyieGGMU
Wakuu vipi mmeingia baridi nini?
Hawa wanamitindo wa Paris tunawala vichwa leo?










Kama ulijua vile ..utakuwa na viashiria vya kichawi mkuuFred angepumzishwa naiona red card ikimnyemelea



NdiwooooooooooooKuna uwezekano sasa tukaongezwa na goli moja






Huu msimu ulikuwa wa United kubeba UCL au kufika fainali.



kule tuna Giroud anatutosha. Yeye anapiga bao nne nne tu