Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi ya leo kati ya West Ham United na Manchester United, inatarajiwa yafuatayo yatatokea:

1. Manchester United itashinda.
2. Manchester United watapewa Penati / Mchezaji wa West Ham United atapewa kadi nyekundu / Goli la West Ham United litakaliwa kwa VAR au bila VAR.
Haaaaa! Vp EPL tutabeba mkuu?
 
Hiz jez zetu walikua wanatusema kweli, sio nzuri kiukweli
 
Hiz jez zetu walikua wanatusema kweli, sio nzuri kiukweli
20201119_174128.jpg

Huu uzi mkali sana wakiwa uwanjani huwezi kuuona vizuri, mimi nimevuta wangu sitaki kusimuliwa.
 
Mechi ya leo kati ya West Ham United na Manchester United, inatarajiwa yafuatayo yatatokea:

1. Manchester United itashinda.

2. Manchester United watapewa Penati / Mchezaji wa West Ham United atapewa kadi nyekundu / Goli la West Ham United litakaliwa kwa VAR au bila VAR.
Dakika ya 8: Goli la West Ham United limekataliwa bila VAR.
 
Kitaswira lazima watuone kama punda baada ya dakika 2 ndio watarudisha taswira ya mtu

Kuna wakati mtu hutumia zaidi mazoea katika kuona kitu
 
Bruno ni kidogo muhimu sana. Tunakwama. Martial atoke zingine Mata.
 
Hivi ni mimi au peke yangu ambaye simwelew huyu VDB ?

Sosha anampnga masho wa nn bola kucheza pungufu kuliko martial acheze manina
 
★Hivi kwnai ji lazima mpaka tufungwe ndio wachomoe sipendi huu Mtindo basi★
 
Back
Top Bottom