Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Kocha mwingine angekuwa anampiga bench★Watetezi wa huyu Mtoto Martial mteteeni na leo sasa yani hapa na hapa kweli★View attachment 1640384
Kocha mwingine angekuwa anampiga bench★Watetezi wa huyu Mtoto Martial mteteeni na leo sasa yani hapa na hapa kweli★View attachment 1640384
Subiri mkwawa akuletee takwimu mkuu.Kocha mwingine angekuwa anampiga benchView attachment 1640452
Unawaatisha watu hii ndo maana halisi ya kikosi kipana
Mbona mnakata tamaa kizembe hivyo? Man u ya ferg ilikuwa bora sana na bado ilifungwa sembuse ya ole, kumbuka mechi inakuwa DO OR DIE hapo yeyote anafungwa ila man u nampa nafasi ya kushinda, kumbuka man u anahitaji sare tuHili group tunatoka kizembe, ngoja tusubiri miujiza mechi ijayo.
Wale watukutu wa ujerumani hawatatuacha salamaMbona mnakata tamaa kizembe hivyo? Man u ya ferg ilikuwa bora sana na bado ilifungwa sembuse ya ole, kumbuka mechi inakuwa DO OR DIE hapo yeyote anafungwa ila man u nampa nafasi ya kushinda, kumbuka man u anahitaji sare tu
Wale watukutu wa ujerumani hawatatuacha salama
Na kuna uwezekano mkubwa wa kupangiwa Barca su Bayern mtoano.......Mpira ndivyo ulivyo mkuu, game ya Leo kocha kawaangusha, PSG haikuwa timu ya kuwafunga leo.
Kama angefanya sub mapema ya Fred, ninaamini mngekaza hata kutoa sare ambayo ingekuwa nzuri sana kwenu.
Hapo mnaenda kutafuta sare ugenini, itakuwa game ngumu sana. Lakini naona mtapita kwa mtazamo wangu.
Na kuna uwezekano mkubwa wa kupangiwa Barca su Bayern mtoano.......
Hapana mkuubado tunahitaji nafasi ya kwanza ila kufungwa goli 3 na paris kumenivunja moyo sana.
unajua uingereza team tatu zimefuzu nafasi ya kwanza, ikitokezea tumeshika nafasi ya pili mara tunachanganywa waingereza watupu kwenye mechi moja ya mtoano.
wasiwasi wangu ndio huo
Balaa tupuItakuwa noma, maana Barca hata kama hayuko kwenye form yake siyo mtu wa kuombea kukutana naye mtoano aisee.
@Chief-Mkwawa atafutwe kokote alipo aletwe hapa mara moja..KiddingKocha mwingine angekuwa anampiga benchView attachment 1640452
Kuna haja ya kuanzisha mchango wa kuwanunulia Paracetamol?@Chief Mkwawa atafutwe kokote alipo aletwe hapa mara moja..Kidding
Nilikuwa shabiki mkubwa wa Martial lakini kwa sasa i'm sick tired of him..kajamaa kanakera sana