Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

tushapigwa mapema tu leo sijui kama tutatoboa maans Ot sahv panatushinda kweli kupata point
 
Nyie Mchicha pori siku hizi kutunza clean sheet imekuwa shida sana
 
Kwamba wasiwachukulie poa, nyie ni mapopoma tu hamna jipya
Tukimfunga PSG leo itakuwa salamu kwa wenzetu kwamba Wasituchukulie poa.....Kama ndoto hivi ila kwa mbaaaaaaaaaaali, yaaan ileee mbaaali, kuna sauti za makelele ya shangwe na fujo za wanajukwaa baada ya ushindi wa Man United dhidi ya Bayern Munchen final msimu huu....The second coming of 1999

Msinipige Mawe
 
Kosa kama hili kamwe huwezi kuliona kwa Jose.
Hata Fergie alikuwa mtaalamu sana wa hizi sub. Nakumbuka game moja na Arsenal vilitembea viatu sijawahi ona. Game hiyo ndio ya kwanza Van Persie akiwa Man U vs Arsenal. Alitolewa Tom Cleverley baada ya kupata yellow.
 
Back
Top Bottom