fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,206
Nakumbuka mwanzo alichezeshwa hiyo nafasi pamoja na hao madogo,hoja ikawa amezungukwa na mediocre players wakati hao hao wakimzunguka bruno tunaona ubora wake.Pogba anaperform vizuri ufaransa sababu ya uwepo wa Ngolo Kante na Nzonzi nyuma yake before alikuwa matuidi.
Siku moja nilisuggest Ole amchezeshe nafasi ya Bruno huku nyuma yake wakiwepo Fred na Scot au Matic.
Na kule Ufaransa anafanya vizuri kwa sababu wenzake almost wote wanamkabia.
Bado haijulikani pogba anataka nini ili awe kwenye ubora wake.

★

: Alex Telles has tested negative for COVID-19.★
Si atajisikia kizunguzungu