Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwenye Para ya mwisho

Huyo kocha wa Sotton kwa style yake usije shangaa tukikutana naye, Ole anamnyoosha za kutosha tu

Ole anashinda sana anapokutana na timu za aina hiyo

Ila hata mimi namkubali sana kazi anayofanya yule mwamba pale Sotton
ukiachana na matokeo ya msimu uliopita yaliopelekea kufukuzwa kwake, pochettino aliweza kuifanya spurs iwe ni timu ya ushindani kimatokeo ( consistent performance) kwa takribani miaka 5 isiyokuwa na bajeti kubwa ya usajili.

poche pia ana uzoefu mkubwa sana wa ligi kuu ya uingereza nakumbuka alianza kazi akiwa na southampton na alijenga timu nzuri sana pale, kivyovyote media za kiengereza hazitokuwa tayari kumpoteza mwanadamu mfano wake.
sijui ujio wake wa kati kati ya msimu utatufaidishaje(hilo ni swali linaloweza kujibiwa na wahusika wenyewe)
===================
hivi mechi yetu dhidi ya southampton iko mbali sana,
teh teh teh hiyo mechi itukute ole akiwa bado ni mwalimu wetu.
natamani kuiona comeback yake kuanzia tactics na matokeo dhidi ya mtaalamu asiyeimbwa Ralph Hasenhüttl.View attachment 1622196
 
Mavi yenu..hata Everton si mlisema wamekuja EPL na kasi ya 5G ...sasa wakakutana na ncha tukawachoma nayo pale nyuma ya makalio
sasa hivi ndio mlichobakiza hicho,kutukana watu matusi, maana mpira umewashinda.
 
★No touch says the Premier League, but Marcus Rashford wasn't so sure...


manutd |
IMG_20201109_094831_069.jpeg
 
Punguza mahaba kwa martial..
Mashabiki wengi wa ligi ya England kuanzia England kwenyewe mpk Tanzania huwa wanavumilia ujinga sn na ndiyo maana hz tm huwa hazifiki mbali ucl, unakuta mchezaji mbovu na anabaatisha lkn mashabiki hawaachi kujipa moyo, kule Spain hakunaga ufala wa kuvumilia wachezaji wazembe wazembe na ndiyo maana utakuta kikosi kizima wachezaji wote wako perfect.
 
Martial hapaswi kutetewa,,,
now anasemwa na mashabiki wa man u wa dunia nzima,,
Tena kuna wengine wamekwenda mbali zaidi kuhoji kwann martial anaanza na cavani anaanzia benchi..
Martial ni mapenzi ya ole lakini hakuna shabiki wa man u anayemtetea sasa kuanza pale man u as striker no 9..

Hao ni mashabiki wa man u waki comment swali la mtoa post kati ya martial na cavani nani aanzie benchi..
90% yao wanahoji kwann cavani anapewa dk chache za kucheza?
Cavani must starts over martial.View attachment 1621843View attachment 1621846View attachment 1621848View attachment 1621850View attachment 1621852View attachment 1621854
Mkuu usitumie nguvu nyingi pliz, Martial is a trash.
 
Anamaanisha kupunguza mahaba kwa Martial hana lolote huyo mchezaji mkuu.
Huo ni mtazamo wako usilazimishe na wengine tuamini unachotaka wewe.

Mimi naamini ni mchezaji mzuri.
Aubameyang mechi ya nane hii hajafunga goli kwenye open play naye ni mchezaji mbaya ?
 
Huo ni mtazamo wako usilazimishe na wengine tuamini unachotaka wewe.

Mimi naamini ni mchezaji mzuri.
Aubameyang mechi ya nane hii hajafunga goli kwenye open play naye ni mchezaji mbaya ?
Mkuu usimuweke Auba kwenye level za Martial cz Auba amesha proof kwmb ni World class je huyo Martial ameproove kwa nani?
 
Back
Top Bottom