Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapo mtajisahau halafu anawang'ata tena mkianza lia lia anawapuliza🤣🤣🤣

This is Ole...

Leo mmeshinda bas ubingwa utakuwa wenu
Au leo hamtangazi kuwa mabingwa🤣🤣🤣
 
Hapo wote nimewaelewa. Huyu dogo asipokuwepo kule mbele huwaa panakuwa hovyo sana, mipira haikai.
Huyo martial ni natural left wing,,sio striker,, neno hili tutalisema siku zote,,
Hebu ifikie mahali tuelewane hapo kwanza..
Tatizo la ole analazimisha kumuweka martial striker no 9.
Badala ya left wing.
Martial,rashford, greenwood hao ndy wakupokezana namba na sio cavani..
 
Mahaba ndiyo nini ?
Martial hapaswi kutetewa,,,
now anasemwa na mashabiki wa man u wa dunia nzima,,
Tena kuna wengine wamekwenda mbali zaidi kuhoji kwann martial anaanza na cavani anaanzia benchi..
Martial ni mapenzi ya ole lakini hakuna shabiki wa man u anayemtetea sasa kuanza pale man u as striker no 9..

Hao ni mashabiki wa man u waki comment swali la mtoa post kati ya martial na cavani nani aanzie benchi..
90% yao wanahoji kwann cavani anapewa dk chache za kucheza?
Cavani must starts over martial.
Screenshot_2020-11-08-01-37-38.jpeg
Screenshot_2020-11-08-01-36-55.jpeg
Screenshot_2020-11-08-01-35-35.jpeg
Screenshot_2020-11-08-01-35-07.jpeg
Screenshot_2020-11-08-01-33-49.jpeg
Screenshot_2020-11-08-01-34-15.jpeg
 
Sema wazee mi naona huyu Ole kufukuzwa haiwezekani maana kila tukipata sababu ya kumtimua na yeye anatafuta sababu ya kubaki.

Tufurahie tu pira la Ole Gunnar Solskjær, wazee! Au mnasemaje?
Kwanza me nawashangaeni munao mkataa.
 
Wakuu huyu Ole tunaye tu itabidi tujitaidi kumzoea, jana nilimuombea mabaya ili OleOUT pressure iwe kubwa cha ajabu kashinda tena 3
 
Mchukieni nyinyi.
Naamini akitua pale, Lacazet hana namba.
Kweli? Kwani Ighalo ana magoli mangapi msimu huu na Laca ana mangapi?

Magoli ya jumla ya Ighalo mangapi na Laca mangapi?

Leo hapa Mwananyamala kwa Kopa kuna bonanza mleteni Ighalo apate game time.
 
Fernandes: "I don't need to think about a hat-trick. [I set up Edinson Cavani because] for a striker it is important to score for his confidence, he will be important for us and the first goal will give him confidence." #muzone [bbc sport]
Kaongea kama mtu mzima ,angekuwa Rashford pale lazima angelazimisha apige na uwezekano mkubwa angekosa kama kawaida yake
 
Back
Top Bottom