- kuna uhusiano wowote wa kufanya kwetu vibaya na kutokumpa heshima inayostahili fred kwa kile anachokifanya pindi tunapotumia mfumo wa double pivot?
- labda kuanza kwake vibaya msimu wake wa kwanza ndio imekuwa ni tiketi ya kuendelea kutokuthamini mchango wake bwana fred kwa kadri anapocheza kwenye huu mfumo wa double pivot?
udhaifu wa Ole Gunnar kwenye suala lazima la kuisimamia timu na hatimaye kuzalisha inconsistency performance isiwe sababu ya kutokuwapa heshima wachezaji wanaojitolea kwa jasho lao kila dakika wanayopewa bila ya kujali matokeo tunayoyapata.
his position is phenomenon,
jamaa ni bingwa wa kunusa hatari za team pinzani bila ya kujalia adui anayepambana naye physically,
jamaa ni bingwa wa kutembea na mipira mbele japokuwa hamzidi nemanja matic,
jamaa ni bingwa wa kufanya tackles za uhakika yabaki tu maamuzi ye referree.
tusisubirie tumeshika nafasi ya 1-4 ndio tuanze kuwasifia baadhi ya wachezaji wetu.
tumpe heshima yake
FRED