Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ulikua wapi wewe kiazi ulipofungwa na man city ...na tuliposhinda dhidi ya PSG ulikua wapi, pumbu wewe siku nyingine tukishinda uje uwe unatupa heshima yetu, nyau wewe,
sasa hivi ndio mlichobakiza hicho,kutukana watu matusi, maana mpira umewashinda.
 
Nina wasiwasi game ya everton watashinda hawa ili kutupooza machungu

Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni game ngumu sana kwa United miaka yote.

Binafsi nilikuwa na matumaini ya kushinda mechi zote tulizocheza baada ya Newcastle isipokuwa game na Everton.

Kama tutashinda ni vizuri ila sitegemei matokeo positive dhidi ya Everton, hawa jamaa hawajawahi kuwa easy prey wa United hata wawe vibaya kiasi gani lazima watusumbue.
 
Upo sahihi

Hata ukiangalia game yetu ya mwisho, wenzetu wakipata mpira wana haraka ya kwenda golini kwetu, lakini sisi tukipata hatuna haraka na tunawapa wapinzani muda wa kurudi kupaki basi

Pia Ole (Ole means benchi lote la ufundi) hana plan B, timu pinzani inapotukamata kwenye counter attack zetu basi timu inakuwa haina njia mbadala, mfano ninaamini mechi ya juzi tunge opt long balls kuanzia dakika ya 70 tungeweza kupata kitu

Halafu tuna shida ya kupasi ili tuonekane tuna pasi lakini sio kupasi ili tupate goli, yote hii ni down to poor coaching
Kwa mechi nilizoangalia tunavyocheza vibaya naweza kusema wazi kabisa siyo fitness tena ni TACTICAL ISSUE.
 
Siku hizi nitakua natembea na panado kwenye mechi za Manchester United, maana sio poa.
Kusema kweli mimi game za United kama nina appointment na demu baada mechi huwa nacounsel maana tulifungwa nitaishia kuuza hiyo mechi na mimi.

It pains sana kufungwa hasa na timu usiyoitarajia halafu unacheza mpira mbaya kuliko hata watoto wa shule.
 
game na everton labda mshinde njaa,mpaka sasa mwenye uhakika wa kushinda ni everton. mumfunge everton kwa mpira gani mlionao? tena everton yuko nyumbani.msubirie mechi iyajo baada ya everton muwafunge hawa wba, halafu mfungwe na southampton nyumbani kwake.
Inatakiwa game ya Everton tupigwe, tuende nafasi ya 17...halaf baada ya international games, tupigwe tena tuende tushuke zaidi nafasi hadi ya 23 huko..
 
Hivi mkuu, kwa uwelewa wako, pochetino ana maajabu yoyote anaweza kutuonyesha?
Maana me naona kama tutakua tunaendelea kutesti mitambo!
Me naona kama tukomae tu na jamaa mpaka mwisho wa ligi, tuone itakuaje?

Siamini maneno ya mashabiki (wanaotaka ushindi tu) kua Ole hana uwezo wa kufundisha Manchester United.

Chengine haya mambo ya kubadili makocha kila kukicha, kila siku tutajikuta tunaanza moja tu.

#Timuole#
Kusema kweli mimi game za United kama nina appointment na demu baada mechi huwa nacounsel maana tulifungwa nitaishia kuuza hiyo mechi na mimi.

It pains sana kufungwa hasa na timu usiyoitarajia halafu unacheza mpira mbaya kuliko hata watoto wa shule.
 
Kazi ya utabili ilimshinda sheikh Yahya Hussein hiyo.
Kwa hiyo tukishinda utafanya nini?
game na everton labda mshinde njaa,mpaka sasa mwenye uhakika wa kushinda ni everton. mumfunge everton kwa mpira gani mlionao? tena everton yuko nyumbani.msubirie mechi iyajo baada ya everton muwafunge hawa wba, halafu mfungwe na southampton nyumbani kwake.
 
United ya sasa hivi hutakiwi kuwa na matumaini kwenye game yoyote, ili kupunguza disappointments
Hiyo ni game ngumu sana kwa United miaka yote.

Binafsi nilikuwa na matumaini ya kushinda mechi zote tulizocheza baada ya Newcastle isipokuwa game na Everton.

Kama tutashinda ni vizuri ila sitegemei matokeo positive dhidi ya Everton, hawa jamaa hawajawahi kuwa easy prey wa United hata wawe vibaya kiasi gani lazima watusumbue.
 
Anceloti master plans akifungwa na Ole nasha william mimi naacha kuvaa mitumba rasmi.
mkuu mechi iko wazi kabisa manyumbu wanakufa pale goodson park,ila mashabaki wa manyumbu hawalionihilo baada ya mechi wanakuja kulaumu kocha na wachezaji, na wakati mechi ilikuwa wanafungwa kabisa kama vile liverpool yupo nyumbani anacheza na shelfield united au fulham mechi kama hiyo iko wazi hizo timu zikifungwa na liverpool hakuna cha ajabu hapo.

sasa mfano huo ni kama mechi ya everton vs manyumbu.everton anashinda hapo ,hakuna cha kushangaza hapo.
 
Hivi mkuu, kwa uwelewa wako, pochetino ana maajabu yoyote anaweza kutuonyesha?
Maana me naona kama tutakua tunaendelea kutesti mitambo!
Me naona kama tukomae tu na jamaa mpaka mwisho wa ligi, tuone itakuaje?

Siamini maneno ya mashabiki (wanaotaka ushindi tu) kua Ole hana uwezo wa kufundisha Manchester United.

Chengine haya mambo ya kubadili makocha kila kukicha, kila siku tutajikuta tunaanza moja tu.

#Timuole#
Pochetino hana tofauti yoyote na Ole na wote ni mr yes man kama Ole tu.

The only positive aliyonayo Pochetino over Ole ni kwamba hana laissez faire attitude kwa vijana wake.

Ole inaonekana anawaamini kupita kiasi wachezaji wake au anawaheshimu kupita kiasi au anawaogopa kuwakaripia


Mara nyingi wameonyesha utoto mwingi sana uwanjani ambao huwezi kuuona katika timu iliyokomaa.
 
Kabisa mkuu, kuna tatizo tactically
Tactical flaws ni nyingi sana.

Hebu ona hapa walivyojipanga na wanatafuta goli la kusawazisha !!!
20201105_181934.jpg
 
Back
Top Bottom