Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu Van Gaal na Jose muda wao katika ubora wao ulishapita, lakini pengine huyu aliyopo, Jose ana afadhali

Lakini kwa sasa hatuhitaji afadhali, tunahitaji kocha mzuri

Kwangu niliondoa imani kwa Ole tangu msimu uliopita, baada ya kupigwa na Burnley
Katika interview fulan Van Gaal alisema Man U inaharibiwa na ambao hawajui mpira kujikaimisha majukumu hayo. Haswa ya usajili na kupokea ripoti za scouting.

Kwahiyo inawezekana kwamba Ole siyo mbovu mazima ila Woodward.
 
Ed na bodi wana share yao ya lawama, lakini kuna mambo mengine tunawafanya kama mbuzi wa kafara tu

Ole amepewa paundi za kutosha tangu aje United ili asajili, amepewa takribani paundi milioni 200

Bodi ya klabu gani imetoa hela hiyo Uingereza tangu (2018 mwishoni) Ole aje pale United?
Katika interview fulan Van Gaal alisema Man U inaharibiwa na ambao hawajui mpira kujikaimisha majukumu hayo. Haswa ya usajili na kupokea ripoti za scouting.

Kwahiyo inawezekana kwamba Ole siyo mbovu mazima ila Woodward.
 
Hivi Aaron hua anawaza nini?
Screenshot_20201105-100904.jpg
 
Kwa maneno yako haya una maanisha kocha na wachezaji wake wote wabovu?
Kocha anaweza asiwe mbovu au akawa mbovu,
90% pale man u hakuna wachezaji

Van gal, mourinho
Hawa ni makocha wenye vigawango vizuri sana, mlikipata msichokiitaji

Sasa mnataka aje zidane au guadiola ili wakichemka muwe mmepata jibu!!!

Maguire na lindelof hiz mbuzi hata zikikaa miaka 100 hazitakuja kuwa parfect. Tafuteni beki majirani zangu

Mlimuuza lukaku, mkabaki na rashford. Then mkaona bora mumchukue cavani na lile zigo la China (hivi anachezaga kweli yule??)

Pogba kutoka moyoni na wote mnajua haipendi man u,
Ferguson aliwai kumkataa akaenda juve, pesa ndio imemrudisha pale muda wowote anasubiri simu kutoka kwa zidane, safari R.Madrid
Pogba anacheza kulinga na siku atakavyoamka na aulizwi

Bruno hana tofaut na ozil, lakin ozil anakiwango kikubwa kuliko huyo Bruno.
Uchawi kuwa Ozil anaachwa ila Bruno huko ndio kikos cha kwanza panga pangua. Alafu unataka nini eti??? Niambie Bruno ana goal ngapi??? ukiacha penalties ambazo anataka hadi za timu pinzanj

Hivi cavani mnamlipa pesa au yeye ndio anawalipa pesa??
Hivi mlishindwa ata kumkamata Suarez? Dybala aje kutia nguvu pale mbele (hivi unajua Cavan ata Everton hapati namba? Atamtoa nani?)

De gea sio de gea yule, huyu nae asiwadanganye. Sasa hivi ukitaja goalkeepers watano wazuri pale EPL, huyo ngongoti wenu haumkuti

Wanbisaka hakuna kitu, na nyie mnajua hilo. Full backs sasa hiv inabid uwe na skills, high speed rate, dynamic, brain
Hiyo vyote bisaka amekosa

Greenwood ni mcehzaji ambae hana madhara wala hana hasara. Ila Nasikia mnamuita van persie.

Rashford kama bahari kupwa na kujaa, not consistency player.

SASA SOSHA AFANYE NINI HAPO??

Jaribuni kuvaa viatu vya sosha kama mtaweza alafu uwe wa kwanza kumnyooshea kidole
 
Mwanitesa United, Dah timu yangu ni shida tupu.
Inaweza kuchukua hata 5 years bila Premier League na UEFA league trophies
 
Hahaha mzee kila ukija humu lawama kwa Ole tu.
Roho inauma sana mdau hakuna kocha aliepewa pesa nyingi za usajili na wachezaji wazuri kama sosha ila anachodeliver uwanjani hatukioni.......
Sitaacha kuuliza bado hajafukuzwa
 
Ed na bodi wana share yao ya lawama, lakini kuna mambo mengine tunawafanya kama mbuzi wa kafara tu

Ole amepewa paundi za kutosha tangu aje United ili asajili, amepewa takribani paundi milioni 200

Bodi ya klabu gani imetoa hela hiyo Uingereza tangu (2018 mwishoni) Ole aje pale United?
Msimu uliopita November mlikua wa 13. Bado mna chansi kwenye ligi na UCL.
 
Nadhani tutakuwa na matokeo ya aina hii mpaka mwisho wa msimu kama Ole ataendelea kubaki..

Hii timu ni utopolo kila idara..wanacheza mechi moja vizuri tano zinazofuta wanabahatisha..

Kama perfomance hii mbovu itaendelea unataka kusema socha apewe tena hela aingie sokoni januari?
 
Wakuu naamini tunashinda tukimpa pressure kocha.


Ole OUT.

Kinachonikera sana ni kujiuliza huko mazoezini hawafundishwi Kupiga Chenga na kudribble mpira kwenda mbele.


Maana kila mchezaji akipata mpira akikaribia kukabwa anapiga nyumba na sio kupiga chenga au kupenyeza pasi kwenda mbele.

Shenzi.


Alafu Pogba Silipendi manina zake, madoido mengi wakati timu inahitaji maamuzi ya haraka.

Dah kuna wachezaji wanafunika makosa ya wengi wasipokuwapo ni dhahama.

Niseme hatuna Kocha kabisa.


Alafu Man U mbona makocha wetu wote ukiacha Ferguson kidogo, hawa wengine wakunja nne na wakaa majukwaani inakera sana.

Naamini tukipata kocha ambae havumilii utozi, utoto, uspastaa uwanjani, na anayereward wanaojitoa kweli kweli na kujenga muunganiko tutakuwa threat.

Ole anahitaji kuacha usela na wachezaji Ukiona Tozi analeta shida hata kama ni first Half toa nje.

Wajue UNITED kwanza madoido baadae.



Ole OUT
 
Mkuu Van Gaal na Jose muda wao katika ubora wao ulishapita, lakini pengine huyu aliyopo, Jose ana afadhali

Lakini kwa sasa hatuhitaji afadhali, tunahitaji kocha mzuri

Kwangu niliondoa imani kwa Ole tangu msimu uliopita, baada ya kupigwa na Burnley

Ongeeni na Leeds awauzie kocha wake.

Soko la makocha ambao ni world class ni gumu sana kipindi hiki.
 
Back
Top Bottom