Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Cavan nae bado mchezaji?
Mara 100 nketiah kuliko huyo babu Cavan, usidanganyike na jina. Yule hakuna kitu sasa hivi

Umemtaja pogba, inamaana umesahau nani alimficha yule pogba, na viungo wote wa man u pale kati


Tulikua na Ozil ambae Bruno wawe 5 ndio wanafikia kiwango na pass killer za ozil
Lakin ozil anakula mbao pale emirate

Alafu mbona haujataja Maguire? Ambae ndio mlinzi mkuu
Kama sio mchezaji cavani ni nani basi?
Hivi unajuwa mpira kweli?
 
Upo sahihi

Hata ukiangalia game yetu ya mwisho, wenzetu wakipata mpira wana haraka ya kwenda golini kwetu, lakini sisi tukipata hatuna haraka na tunawapa wapinzani muda wa kurudi kupaki basi

Pia Ole (Ole means benchi lote la ufundi) hana plan B, timu pinzani inapotukamata kwenye counter attack zetu basi timu inakuwa haina njia mbadala, mfano ninaamini mechi ya juzi tunge opt long balls kuanzia dakika ya 70 tungeweza kupata kitu

Halafu tuna shida ya kupasi ili tuonekane tuna pasi lakini sio kupasi ili tupate goli, yote hii ni down to poor coaching
United kuna shida ya coaching.

1. Timu anacheza slow sana na very predictable.

2. Tunafanya touches nyingi sana kabla ya kupiga pass matokeo yake tunakabwa.

3. Tunacheza back pass nyingi sana unnecessary hii ni kwa sababu tunafanya touches nyingi sana hata kwenye sehemu ya single touches.

4. Wachezaji wanatumia muda mwingi kuexpress brilliance badala ya kucheza kutafuta results.

5. Sloppy passing and poor marking ni tactical problem not down players quality.

6. Poor run na poor positioning ni tactical problem not down to players quality.

7. Wachezaji wetu wameloose aggressiveness to the extent wanacheza kumaliza dakika 90 siyo kutafuta matokeo.

8. Benchi la ufundi inaonekana limestuck na wachezaji walionao wameshindwa kuwapa muunganiko mzuri.

9.Benchi la ufundi linafuata pressure za mashabiki na pundits kupanga kikosi badala ya kuzingatia chemistry ya timu.

10. Sioni kama tuna sababu ya kuwachezesha Pogba, Donny na Bruno pamoja na hakuna sababu ya kuwachezesha Pogba na Bruno pamoja lazima tumsacrifice either Pogba au Bruno ili timu ipate rhythm nzuri uwanjani.

NB.

Mimi ni pro Ole.
 
Back
Top Bottom