Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Nani anafaa kuja kuifundisha united kwa sasa ?Nataka Ole aondke ila sikubali Poch aje.
He is too average. Atakupa mpira mzuri ila hatakupa makombe.
Nani anafaa kuja kuifundisha united kwa sasa ?Nataka Ole aondke ila sikubali Poch aje.
He is too average. Atakupa mpira mzuri ila hatakupa makombe.
Nani anafaa kwa sasa kuifundisha united ?Ole watu wanamtetea tu humu lakini kiuhalisia hakuna anachoarchieve hata kimoja maana kwa mda aliokaa Ole Van gaal alishabeba kombe, Mou pia alishabeba ila yeye sioni dalili hata ya carabao yani kiufupi jamaa hawezi kutupa hayo mafanikio.
Van gaal alifukuzwa lakini mimi nasema yule mzee ndo alipaswa kupewa muda maana hata mabadiliko ya kiuchezaji yalionekana ingawa shida ikawa hatufungi droo nyingi sana sasa ole uuuuups hakuna mpira mzuri hakuna nini tunaenda tu.
Sijajua why wanasema Poch ni average nadhani anaweza kuwa kocha mzuri tu kuliko Ole sababu tott haikuwa mbaya chini yake pia haikuwa na World class players kama ilivyo united, anaweza kuwa na jambo lake zuri tu pale OT lakini imani yangu na Ole imeisha kabisa imerudi zero+ hahaha.
Vipi leo tutafanikiwa Kuwala mande utopolo ?Huu Uzi umejaaa lawama tu, na muda wote upo active.
Leo tutawapiga,Vipi leo tutafanikiwa Kuwala mande utopolo ?
Ndiyo umetandika mkeka wako hivi ?Leo tutawapiga,
Simba SC atashinda,
Man U atashinda,
Chelsea atashinda na
Barca atashinda.
Na hutaona tena kelele za wasiojua humu.
Tatzo LA United ni kubwa sana.Nani anafaa kwa sasa kuifundisha united ?
Na nimetia 100,000/-Ndiyo umetandika mkeka wako hivi ?
Man u atadrawNa nimetia 100,000/-
Kama lipi hilo ?Tatzo LA United ni kubwa sana.
Simba sare bila bilaLeo tutawapiga,
Simba SC atashinda,
Man U atashinda,
Chelsea atashinda na
Barca atashinda.
Na hutaona tena kelele za wasiojua humu.
Acha kuwaza kitotoMechi ya Leo ina presha kwa ole , atapanga kikosi kamili anachokiamini,,,, ! Probably atashinda na kuwapooza mashabiki, imagine akifungwa Tena Leo atachafua Sana Hali ya hewa !!
Let's go
#GGM





Uje uni-quote baada ya 90mins ! Acha porojoAcha kuwaza kitoto
Hivi wewe unataka huruma kufunga
Siku hizi umeacha kuleta msimamo wa EPL nini kimekukumba?HAWA MAKOCHA WANAJIFUKUZISHA WENYEWE..NAONA CAVANI YUKO NJE NA MPUMBAVU martial YUKO NDANI.View attachment 1621368
Mnafungwa leo Period!!!Mechi ya Leo ina presha kwa ole , atapanga kikosi kamili anachokiamini,,,, ! Probably atashinda na kuwapooza mashabiki, imagine akifungwa Tena Leo atachafua Sana Hali ya hewa !!
Let's go
#GGM