DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Mkuu kama kesho una appointment na demu kesho niuzie kabisa hiyo game, maana hutoboi,Kusema kweli mimi game za United kama nina appointment na demu baada mechi huwa nacounsel maana tulifungwa nitaishia kuuza hiyo mechi na mimi.
It pains sana kufungwa hasa na timu usiyoitarajia halafu unacheza mpira mbaya kuliko hata watoto wa shule.
Calvert Lewin ana jambo lake kesho
.★

★
#TB
