ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Ivi huyu jamaa aliwahi ipenda aseno kweli???Jamaa kaongea kitu ambacho huwa nakifikiria kila siku. View attachment 1620041
Ivi huyu jamaa aliwahi ipenda aseno kweli???Jamaa kaongea kitu ambacho huwa nakifikiria kila siku. View attachment 1620041
Hahaha has been amekosa namba akakosa timu. Amerudishwa uwanjani. Martial hajapiga shot on target tangu msimu uanze Cavani amepiga?Pale Arsenal kuna mchezaji gani walau anayekaribia kiwango cha Edson Cavani ?
Kuna mchezaji gani walau anayekaribia kiwango cha Paul Pogba ?
Kuna mchezaji gani walau anayekaribia kiwango cha Bruno Fernandes ?
Mchezaji gani anayekaribia kiwango cha Scot ?
Sasa si ndio walivyofundishwaJinsi tulivyofungwa goli la kwanza, mabeki walivyojipangaView attachment 1619849
Mkuu hizi habari nimepenyezewa na aliyeko jikoni.Hizi habari za Pochetino huwa zinaibuka kila siku Man united akipoteza Mechi na huenda hazina ukweli wowote zaidi ya kutaka kupata mauzo ya magazeti tu.
Huyo ni rodgers aliechangamkaMkuu hizi habari nimepenyezewa na aliyeko jikoni.
Tusubiri mapishi yawe tayari tule.
Nafikiri Twaha kiduku atawezaAtafutwe kocha mwenye uwezo wakupambana na klopp na pep sie ubingwa tunabeba.....
DaOle kocha mzuri apewe mu
Hakuna kitu kama hicho hata hivyo Pochetino na Ole ni daraja moja tu.Mkuu hizi habari nimepenyezewa na aliyeko jikoni.
Tusubiri mapishi yawe tayari tule.
Sasa si ndio walivyofundishwa
Hata mimi namuona hivyo ukiniambia kocha ambaye walau anaweza kufaa kuifundisha United ni kocha wa Southampton kwa walioko EPL.
Hata mimi namuona hivyo ukiniambia kocha ambaye walau anaweza kufaa kuifundisha United ni kocha wa Southampton kwa walioko EPL.
Cavan nae bado mchezaji?Pale Arsenal kuna mchezaji gani walau anayekaribia kiwango cha Edson Cavani ?
Kuna mchezaji gani walau anayekaribia kiwango cha Paul Pogba ?
Kuna mchezaji gani walau anayekaribia kiwango cha Bruno Fernandes ?
Mchezaji gani anayekaribia kiwango cha Scot ?
Mpaka hapa asiyegundua tatizo ni kocha basi tena. Ole hana mbinu hata umpe Messi,Ronaldo n.kLIVERPOOL DEFENSE THAT PLAYED AGAINST ATLANTA.
Gomez £3.5m
Arnold £0
R. Williams £0
Robertson £8
TOTAL = £11.5m
ATLANTA 0-5 LIVERPOOL
MANCHESTER UNITED DEFENSE THAT PLAYED AGAINST BASAKSEHIR
Maguire £87
Tuanzebe £0
Shaw £30
Wan Bissaka £55m
TOTAL = 172m
BASAKSEHIR 2-1 MANCHESTER UNITED
Ni kweli lakini hata makocha vichwa maji ni wengi sana kibaya zaidi hata wachezaji vichwa maji ni wengi pia.Miaka hii ni changamoto sana kupata kocha na atoe majibu ndani ya muda.
Siku hizi timu zinafanya uwekezaji mkubwa sana na zinakuwa zinataka majibu ndani ya muda mfupi, kitu ambacho ni kubahatisha, mwisho wa siku inakuwa ni kazi ya kutimuwa timuwa makocha.
Wajerumani wamewekeza sana kwenye coaching ndiyo maana wanazalisha talents nyingi sana kwa sasaMakocha wengi wa kijerumani ni wazuri
Ni kweli lakini hata makocha vichwa maji ni wengi sana kibaya zaidi hata wachezaji vichwa maji ni wengi pia.
Sasa wakikutana kocha kichwa maji na wachezaji wengi vichwa maji ndiyo haya ya kina Ole na wachezaji wake.
Wakishinda mechi moja wanaamini na zinanzokuja watashinda tu kwa kuwa wao ni Man united.
Ulitaka nitaje mchezaji kwenye position ambaye kwa mara ya mwisho mlikuwa nae Tony Adam's?Cavan nae bado mchezaji?
Mara 100 nketiah kuliko huyo babu Cavan, usidanganyike na jina. Yule hakuna kitu sasa hivi
Umemtaja pogba, inamaana umesahau nani alimficha yule pogba, na viungo wote wa man u pale kati
Tulikua na Ozil ambae Bruno wawe 5 ndio wanafikia kiwango na pass killer za ozil
Lakin ozil anakula mbao pale emirate
Alafu mbona haujataja Maguire? Ambae ndio mlinzi mkuu
Sure, laissez faire Attitude ya Ole huwa inakera sana hasa timu inapokuwa inacheza vibaya.Na siku hizi mpira unachezwa na makocha zaidi kuliko wachezaji wenyewe.