Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jamaa kaongea kitu ambacho huwa nakifikiria kila siku.
IMG_20201105_121756.jpg
 
Istanbul Basaksehir ni kama kachokoza nyuki halafu bado kabaki eneo la tukio.

With 45 minutes to play, kuongoza 2 - 1 kwa timu yenye sub zake 3 mkononi na nje wakiwepo Pogba, Cavani ni bora waukimbie uwanja wao mapema.

But this is a lesson to Ole, mambo ya playtime tunafanyaga tukishafuzu.
Kwakwakwakwakwakwakwabwahahahahahahahaha 😂😂😂
 
Ed na bodi wana share yao ya lawama, lakini kuna mambo mengine tunawafanya kama mbuzi wa kafara tu

Ole amepewa paundi za kutosha tangu aje United ili asajili, amepewa takribani paundi milioni 200

Bodi ya klabu gani imetoa hela hiyo Uingereza tangu (2018 mwishoni) Ole aje pale United?
United kuna shida ya coaching.

1. Timu anacheza slow sana na very predictable.

2. Tunafanya touches nyingi sana kabla ya kupiga pass matokeo yake tunakabwa.

3. Tunacheza back pass nyingi sana unnecessary hii ni kwa sababu tunafanya touches nyingi sana hata kwenye sehemu ya single touches.

4. Wachezaji wanatumia muda mwingi kuexpress brilliance badala ya kucheza kutafuta results.

5. Sloppy passing and poor marking ni tactical problem not down players quality.

6. Poor run na poor positioning ni tactical problem not down to players quality.

7. Wachezaji wetu wameloose aggressiveness to the extent wanacheza kumaliza dakika 90 siyo kutafuta matokeo.

8. Benchi la ufundi inaonekana limestuck na wachezaji walionao wameshindwa kuwapa muunganiko mzuri.

9.Benchi la ufundi linafuata pressure za mashabiki na pundits kupanga kikosi badala ya kuzingatia chemistry ya timu.

10. Sioni kama tuna sababu ya kuwachezesha Pogba, Donny na Bruno pamoja na hakuna sababu ya kuwachezesha Pogba na Bruno pamoja lazima tumsacrifice either Pogba au Bruno ili timu ipate rhythm nzuri uwanjani.

NB.

Mimi ni pro Ole.
 
Kocha anaweza asiwe mbovu au akawa mbovu,
90% pale man u hakuna wachezaji

Van gal, mourinho
Hawa ni makocha wenye vigawango vizuri sana, mlikipata msichokiitaji

Sasa mnataka aje zidane au guadiola ili wakichemka muwe mmepata jibu!!!

Maguire na lindelof hiz mbuzi hata zikikaa miaka 100 hazitakuja kuwa parfect. Tafuteni beki majirani zangu

Mlimuuza lukaku, mkabaki na rashford. Then mkaona bora mumchukue cavani na lile zigo la China (hivi anachezaga kweli yule??)

Pogba kutoka moyoni na wote mnajua haipendi man u,
Ferguson aliwai kumkataa akaenda juve, pesa ndio imemrudisha pale muda wowote anasubiri simu kutoka kwa zidane, safari R.Madrid
Pogba anacheza kulinga na siku atakavyoamka na aulizwi

Bruno hana tofaut na ozil, lakin ozil anakiwango kikubwa kuliko huyo Bruno.
Uchawi kuwa Ozil anaachwa ila Bruno huko ndio kikos cha kwanza panga pangua. Alafu unataka nini eti??? Niambie Bruno ana goal ngapi??? ukiacha penalties ambazo anataka hadi za timu pinzanj

Hivi cavani mnamlipa pesa au yeye ndio anawalipa pesa??
Hivi mlishindwa ata kumkamata Suarez? Dybala aje kutia nguvu pale mbele (hivi unajua Cavan ata Everton hapati namba? Atamtoa nani?)

De gea sio de gea yule, huyu nae asiwadanganye. Sasa hivi ukitaja goalkeepers watano wazuri pale EPL, huyo ngongoti wenu haumkuti

Wanbisaka hakuna kitu, na nyie mnajua hilo. Full backs sasa hiv inabid uwe na skills, high speed rate, dynamic, brain
Hiyo vyote bisaka amekosa

Greenwood ni mcehzaji ambae hana madhara wala hana hasara. Ila Nasikia mnamuita van persie.

Rashford kama bahari kupwa na kujaa, not consistency player.

SASA SOSHA AFANYE NINI HAPO??

Jaribuni kuvaa viatu vya sosha kama mtaweza alafu uwe wa kwanza kumnyooshea kidole
Hao wachezaji uliowataja wote wanakuwa regular starter pale Arsenal
 
Hivi sokoni sasa hivi ni Kocha gani anafaa kuchukua nafasi ya Ole ?
BREAKING: Manchester United have approached Mauricio Pochettino as pressure continues to mount on Ole Gunnar Solskjaer, according to Manchester Evening News.
 
Arsenal ya London au ya kigogo iliyomsajili Sanchez wa Man City ya kwa Limboa kwa chips mayai?
Pale Arsenal kuna mchezaji gani walau anayekaribia kiwango cha Edson Cavani ?

Kuna mchezaji gani walau anayekaribia kiwango cha Paul Pogba ?

Kuna mchezaji gani walau anayekaribia kiwango cha Bruno Fernandes ?

Mchezaji gani anayekaribia kiwango cha Scot ?
 
BREAKING: Manchester United have approached Mauricio Pochettino as pressure continues to mount on Ole Gunnar Solskjaer, according to Manchester Evening News.
Hizi habari za Pochetino huwa zinaibuka kila siku Man united akipoteza Mechi na huenda hazina ukweli wowote zaidi ya kutaka kupata mauzo ya magazeti tu.
 
Back
Top Bottom