Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Goal 1: Fred wins ball for Pogba assist
Goal 2: Fred pass to Bruno for assist
Goal 3: Fred wins ball for Rashford goal
Goal 4: Fred pass to Martial who wins pen
Goal 5: Fred didn’t help at all...

Inconsistent from him if you ask me. #MUFC

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Fred kawa mchezaji muhimu sana kwetu, jamaa mapafu ya mbwa
 
Duh, mwaka Jana lakini ilifika semi final UCL. Everton hata kuingia makundi tu ya UCL sijui Mara ya mwisho ilikuwa lini.
Hata tottenham alifika hizo levels.

Na hiyo sio sababu pekee ya kuifanya iwe timu kubwa.

Na Leicester City nao walichukua EPL.

Hizo sio timu kubwa.

1. Fc Bayern Munich
2. Borusia Dortumund
3. Fc Schakle 04
4. Werder bremen.

Hizo ndo timu kubwa Germany.
 
Schakle 04 na werder bremen zilikuwa kubwa zamani siku hz ni za kawaida mnoooooo
Hata tottenham alifika hizo levels.

Na hiyo sio sababu pekee ya kuifanya iwe timu kubwa.

Na Leicester City nao walichukua EPL.

Hizo sio timu kubwa.

1. Fc Bayern Munich
2. Borusia Dortumund
3. Fc Schakle 04
4. Werder bremen.

Hizo ndo timu kubwa Germany.
 
Hata tottenham alifika hizo levels.

Na hiyo sio sababu pekee ya kuifanya iwe timu kubwa.

Na Leicester City nao walichukua EPL.

Hizo sio timu kubwa.

1. Fc Bayern Munich
2. Borusia Dortumund
3. Fc Schakle 04
4. Werder bremen.

Hizo ndo timu kubwa Germany.
Timu za ujerumani ukiondoa Bayern zingine huwa zinafluke msimu mmoja au miwili zinapotea
 
Back
Top Bottom