Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dony hajacheza pembeni, Martial na Greenwood ndio wamecheza pembeni na Dony alikuwa Katikati
Basi bado utabisha
Screenshot_2020-10-29-02-18-42.jpeg
 
Nilisema humu United ndiyo timu favourite kushinda mechi zote kwenye hili kundi.

Wengi mlibisha sana humu kwenye hili kundi tunaweza qualify hata kabla mechi za group stage hazijaisha.

Mpaka sasa tunahitaji kushinda mechi mbili tu hasa tukiwafunga PSG na Liezpig tutakuwa tumejihakikishia kuwa wa kwanza kwenye group.
Mnakuwa wakwanza lakini 16 bora hamvuki ..asa ndo nini bro😂😂😂😂 bora mpambane muende hata Europa
 
Mashabiki wa Man Utd inabidi tutambue ya kuwa haiwezekani kucheza zaidi ya players 11 uwanjani. Ligi tumechacgeza match tano tuu tunalalmika VdB hachezi?

Nilichokiona watu wanalalamika kuanza kwa James lakini wanatumia kivuli cha VdB kukosa minutes. Ingekua kaanza let say Rashy kushoto then Cavani upfront watu wasingelalamika VdB kukosa kucheza.

Wazee Ole naye ni binadamu, hawezi kuwa right kila siku na kuturidhisha mashabiki wote.

Kuna ligi, UEFA, Carabao na Fa naamini VdB atacheza tuu.
Ukishaanza kuleta ubinadamu ujue kazi inakushinda.

Anayefanya kazi kwenye nuclear power akileta story za ubinadamu ujue yatatokea ya Chernobyl.
 
Back
Top Bottom