Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wale matege wa urusi? sisi tumepiga mtu aliefika fainali na nusu fainali jiangalie mkuu
Bado mna kibarua kigumu sana ..naona kabisa mukipambana sana mutakuwa nafasi ya pili ..PSG hawezi kukubali kuwa chini yenu..
 
Ari imeanza kuja kwenye timu yetu ,,,,

Good enough tuna depth ya kutosha,,,, !!!
Ole ashindwe yeye tu , this season walau kikombe chochote,,, !!!


#GGM
 
Duh, mwaka Jana lakini ilifika semi final UCL. Everton hata kuingia makundi tu ya UCL sijui Mara ya mwisho ilikuwa lini.
Ligi anayocheza Leipzig ni rahisi kushiriki Champions League kuliko timu yenye uwezo sawa inayocheza Premier League. EPL ina timu bora nyingi ni ngumu kwa timu kama Everton kuingia top 4.
 
Ligi anayocheza Leipzig ni rahisi kushiriki Champions League kuliko timu yenye uwezo sawa inayocheza Premier League. EPL ina timu bora nyingi ni ngumu kwa timu kama Everton kuingia top 4.
Na Totenham mwaka jana alikula ndani na nje kwa Leipizg ambayo inatokea ligi laini, tena Totenham ikiwa ilifika top 4 ya ligi ngumu.
 
Tangu Ole arekebisha midfield choices yake

United inapata inachokitaka

Mid ya Matic + Fred, mid ya Tominay + Fred (midfielders wazuri kwenye kukaba) wakiungana na Pogba /Bruno ina click sana

Sio coincidence United kuanza kupata matokeo baada ya Ole ku addapt wachezaji hao katikati ya kiwanja

Next match Arsenal, the best parking bus team in EPL... We are coming for you
 
Back
Top Bottom