Shortage ya mchezaji mmoja afu unafungwa goli tano bado ni udhaifu. Kuna timu zikiwa pungufu ndio zinakamua vizuri zaidi, nyingine husawazisha hata na kushinda. Hivyo kuliko kuamini kuwa ungeshinda ni vizuri kujiuliza ni wapi timu ilikwama kwa kiasi kikubwa hivyo.
Kama simba ikiwa pungufu dhidi ya yanga
 
Ishukuriwe VPN

Asee Jumatano tulipa mbungi la hatari baada ya zile sub kufanyika

Fred ndo mchezaji anayepaswa kuwa wa kwanza kuwekwa kwenye lineup..Aki-improve pass zake basi atakuwa best mid in the world kwenye nafasi anayocheza

Guys,Rashford can play..

Hawa Arsenal wanaanza kutuzoea..inabidi tuwafurushe vikali kabisa jumapili

My First XI ingekuwa hivi;


De Gea

AWB Lindelof Maguire Shaw

Fernandes Mc+Fred Pogba

Greenwood Rashford

Diamond fulani ya kizushi lakini ya hatari..
 
Manchester United are willing to double Hakan Calhanoglu's wages to convince him to join next season.

The Milan star's future remains up in the air with the Serie A club, though they may yet offer him a new deal.
IMG_20201030_183618_753.jpg


Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
In My Opinion...Rashford
Hapana ninafikiri Sancho kwasababu yule ni specialist #7.Ila Rashford sio specialist left wing or #9 ila ni mfungaji mfungaji tu.

Nampenda Rashford kwakua anaichezea UTD lakini hawalingani na SANCHO MWAMBA.

Thamani ya mchezaji ni availability na Demand.

#7 ni demand kubwa sana kwa soko la football na wapo wachache sana.


Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom