Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

wana shuti moja tu on target, tena shuti lenyewe hata halikuwa hatari, wana posses bila kutengeneza pasi za maana. wakati sisi hatuna possession kubwa ila tukifika golini kwao tunakuwa Hatari, isingekuwa kipa wao pengine tungekuwa zaidi ya goli 1 tunaongoza. na goli letu limetokana na Kuwa press, Fred kawin mpira kampa Pogba na kwenda kwa Greenwood.

IMG_0240.jpg

Msome na huyu mkuu
 
Wow! Wow! Wow! Hawa ndiyo nilikuwa nawaogopa kwenye hili group! Kudos Man Utd. Heko Rashford
Nilisema humu United ndiyo timu favourite kushinda mechi zote kwenye hili kundi.

Wengi mlibisha sana humu kwenye hili kundi tunaweza qualify hata kabla mechi za group stage hazijaisha.

Mpaka sasa tunahitaji kushinda mechi mbili tu hasa tukiwafunga PSG na Liezpig tutakuwa tumejihakikishia kuwa wa kwanza kwenye group.
 
Back
Top Bottom