Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilisema humu United ndiyo timu favourite kushinda mechi zote kwenye hili kundi.

Wengi mlibisha sana humu kwenye hili kundi tunaweza qualify hata kabla mechi za group stage hazijaisha.

Mpaka sasa tunahitaji kushinda mechi mbili tu hasa tukiwafunga PSG na Liezpig tutakuwa tumejihakikishia kuwa wa kwanza kwenye group.
Ebwana nakumbuka ulichosema na mimi nikasema kwa ratiba yenu naona mna uhakika wa kushinda game ya New Castle kuliko zinazofuata.

So sikushangaa mlivyompiga NC, mlivyomnyoosha na PSG nikaona utoto wa Neymar na 4 2 4 ndiyo imewaponza ila baada ya suluhu ya Chelsea na mlichofanya leo aisee sikutegemea.

Hongereni.
 
Ebwana nakumbuka ulichosema na mimi nikasema kwa ratiba yenu naona mna uhakika wa kushinda game ya New Castle kuliko zinazofuata.

So sikushangaa mlivyompiga NC, mlivyomnyoosha na PSG nikaona utoto wa Neymar na 4 2 4 ndiyo imewaponza ila baada ya suluhu ya Chelsea na mlichofanya leo aisee sikutegemea.

Hongereni.
Kwenye fixture yetu ukikuta kuna.
Everton
Newcastle
Wolves
Possibility ya kudondosha point ni kubwa sana.
 
Umeongea kikubwa.
Ebwana nakumbuka ulichosema na mimi nikasema kwa ratiba yenu naona mna uhakika wa kushinda game ya New Castle kuliko zinazofuata.

So sikushangaa mlivyompiga NC, mlivyomnyoosha na PSG nikaona utoto wa Neymar na 4 2 4 ndiyo imewaponza ila baada ya suluhu ya Chelsea na mlichofanya leo aisee sikutegemea.

Hongereni.
 
Nitakua mnafki nisipo ongea hili.
Sorkjer nilimpa mechi mbili akizingua nijiunge na wenzangu wanao mponda.
Cha ajabu ni mechi ya nne sasa, kashinda 3 kasuruh 1.
Hivyo kama nilimpa mtihani basi katusua tena kwa alama ya juu kabisa.
Kwa hiyo natangaza rasmi kumuunga mkono kocha wetu, iwe masika ama kiangazi.
Sio akishinda nafurahia akifungwa, sorkjer out, huo ni unafki na unafki ni alama za kishwain na ushwain mimi sipendelei.
Usiku mwema.
 
He has always delivered in big games

IMG_0242.jpg

Huyu leo alikuwa mchezaj bora uwanjan kwa upande wetu leo huu ni mtazamo wangu
 
Back
Top Bottom