DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,870
Media zimehamisha goli kutoka kwa Ole na Bruno kwenda kwa Greenwood na uongozi.Huyu dogo sijui anajiona star sana hata simuelewi. Timu ya taifa walimtimua yeye na Foden. Huku penye ugali ameanza tena.View attachment 1608745
Mmoja anakwambia wao ni matajiri hawawezi kua underdogs.Avumilie
Dogo ana shida kumtetea hakumsaidii anapaswa kubadilika ,alianza kwa Southgate now kwa OGSMedia zimehamisha goli kutoka kwa Ole na Bruno kwenda kwa Greenwood na uongozi.
Kikubwa halitakiwi kukosekana jina Manchester united kwenye magazeti.
Mchezaji anaweza kua na talent ila nidhamu ikiwa sifuri kazi anayo.Huyu dogo sijui anajiona star sana hata simuelewi. Timu ya taifa walimtimua yeye na Foden. Huku penye ugali ameanza tena.View attachment 1608745
Mwalimu alisema ana injuryDogo ana shida kumtetea hakumsaidii anapaswa kubadilika ,alianza kwa Southgate now kwa OGS
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Hawa Chevrolet watoke tuu hatuna upepo nao.
Beki zao zote zinaanza, na washambuliji wenu kule hata bench hawakai
Mwalimu alisema ana injury
Kwanini tumeshindwa kumwamini Ole halafu tuamini vyombo vya habari ambavyo mara nyingi huwa vinaandika habari za uongo dhidi ya united ?★Ole ni mtu mzima that's why he can't air everything kwenye media inambidi amfichie siri kama mwanae tu ila dogo anamatatizo sizani kama media zinataka kumkwamisha kwenye mafanikio yake dogo anaonekana mpole ila hao wapole moto wao nazani unaufaham keep it on your mind Buddy★
Duuuh aiseee eee!!!!!!!!!!Beki zao zote zinaanza, na washambuliji wenu kule hata bench hawakai
Unafikiri unaposema wafukuzwe hao Chevrolet ni sponsor yupi yupo tayari kutoa hela nyingi zaidi yao? Hela waliyokuwa wanalipa ni kichekesho maana ilikuwa kubwa mno at £ 55 millions kwa mwakaHawa Chevrolet watoke tuu hatuna upepo nao.
Bayern ni kubwa sana kuliko Man Utd labda ukubwa UK naosemea wa Man Utd kwenye Mauzo ya jezi tuHata bayan mkuu,,man u bado sio under dog ,,
Man u ndy timu kubwa na Tajiri namba moja duniani..
Tulia wewe dawa ipenye kunako, hiyo front3 yenu hata namba mazoezini hawapati pale farmer club psg,★Samahani mkuu (washambuliji) sjakupata hapo★
Hao watu Wa betting usidhani ni wajinga sana. Saa zingine huwa wanahisi uhalisia Wa matokeo ila wanaamua kuwachuza watu kama nyie ili wapige vyao vya kutoshaDetective J ruralofficer mnachotaka kuanzisha ni ubishi.
PSG ingawa ana majeruhi 7 wa first 11 lakini bado betting companies zikampa man u points 6 psg kagewa 1.
Now kwakua you need to feed your ego ngoja niandike hivi;
Psg walikua favorite kushinda mechi kuliko man u based on recent years performance, kikosi, uwezo wa wachezaji na uwezo wa kocha wao.
Hapo sawa?
Kuandika nini?Kuandika tu hujui![]()
Usisahau man u ndio tm yenye sponsors wengi zaidi so haijawahi na haitowahi kukosa sponsors mana wanagombania kukaa kwenye ile jezi.Unafikiri unaposema wafukuzwe hao Chevrolet ni sponsor yupi yupo tayari kutoa hela nyingi zaidi yao? Hela waliyokuwa wanalipa ni kichekesho maana ilikuwa kubwa mno at £ 55 millions kwa mwaka
Unapoambiwa Man utd ni team kubwa zaidi duniani muwe mnaelewaBayern ni kubwa sana kuliko Man Utd labda ukubwa UK naosemea wa Man Utd kwenye Mauzo ya jezi tu
Bayern ana UCL 6 vs Man Utd UCL 3
Juzi Atletico Madrid na ubabe wake kwenye kudefend kafungwa 4 bila sasa sijui Ole Gunnar Sokjaer atakuwa anapigwa ngapi na Hans Flick




Fuatilia mabango ya jezi kifuani pesa zake zikoje na Chevrolet wanalipaje na mabango ya Clubs kubwa zingineUsisahau man u ndio tm yenye sponsors wengi zaidi so haijawahi na haitowahi kukosa sponsors mana wanagombania kukaa kwenye ile jezi.