Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio speculation..najaribu kukuonyesha kuwa kuna muda wachezaji wanavunja sheria ila Club zinawalinda..ila kuna sehemu timu hazivumilii hasahasa national teams
Anyway tukubaliane.
1. Mimi naamini alichokisema Ole
2. Wewe unaamini walichokisema Skysport.
 
Ushahidi ndio kama huo nimekupa kwamba Bayern ana CL 6 Man ana 3

Utachekesha kama unaongelea ukubwa kwa factor za Nje ya dakika 90 sababu mpira ni dakika 90
Naona uneshindwa kujibu swali ngj nikubadilishie, Arsenal na Aston Villa ipi ni timu kubwa
 
Hata 2020

Liverpool UCL x6 versus Barca x5
Mkuu mbn unaongea vitu vya kichwani kwako pasipo evidence? Nimekuomba ulete ushahidi unaoonesha Liverpool ni kubwa kuliko barca huleti unabaki kuongea kulingana na unachoamini, hatutafika kwa style hiyo mkuu
 
Mkuu mbn unaongea vitu vya kichwani kwako pasipo evidence? Nimekuomba ulete ushahidi unaoonesha Liverpool ni kubwa kuliko barca huleti unabaki kuongea kulingana na unachoamini, hatutafika kwa style hiyo mkuu
Mafanikio ya kimpira kwa klabu ni yepi?
 
Back
Top Bottom