Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

#mufc have warned Mason Greenwood over disciplinary breaches and it is understood Greenwood has also been warned by the club over his behaviour in recent days and weeks, specifically several instances of lateness [Times]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Frustration is growing at Mason Greenwood's recent behaviour. #mufc have warned the 19-year-old over repeat issues with his punctuality. [Telegraph]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Detective J ruralofficer mnachotaka kuanzisha ni ubishi.

PSG ingawa ana majeruhi 7 wa first 11 lakini bado betting companies zikampa man u points 6 psg kagewa 1.

Now kwakua you need to feed your ego ngoja niandike hivi;

Psg walikua favorite kushinda mechi kuliko man u based on recent years performance, kikosi, uwezo wa wachezaji na uwezo wa kocha wao.

Hapo sawa?
 
Detective J ruralofficer

Stats kutoka livescore na sofascore. Sofascore inaonyesha poll ya timu ambayo ingeshinda game.
Screenshot_20201022-091406.jpg
Screenshot_20201022-091607.jpg
Screenshot_20201022-091624.jpg
 
Detective J ruralofficer mnachotaka kuanzisha ni ubishi.

PSG ingawa ana majeruhi 7 wa first 11 lakini bado betting companies zikampa man u points 6 psg kagewa 1.

Now kwakua you need to feed your ego ngoja niandike hivi;

Psg walikua favorite kushinda mechi kuliko man u based on recent years performance, kikosi, uwezo wa wachezaji na uwezo wa kocha wao.

Hapo sawa?
Hapo unaongea kishabiki tu, ukianza kuangalia vikosi kuanzia kipa mpk forward angalia mchezaji mmoja mmoja zen rudi tena.
 
Hapo unaongea kishabiki tu, ukianza kuangalia vikosi kuanzia kipa mpk forward angalia mchezaji mmoja mmoja zen rudi tena.
Hahaha haya. Nikiongea mwisho utasema kinachomatter ni ushindi. Kuna attachments mbili nimeupload ushahidi wa jinsi quality players wa man u walivyotandaza soka safi mbele ya psg.
 
Mkuu unachafua hali ya hewa, bola utulie tu, usini tafutie ban bule.
Hao PSG wako kila siku tuna wagonga alafu unatuita under dog!?

Detective J ruralofficer mnachotaka kuanzisha ni ubishi.

PSG ingawa ana majeruhi 7 wa first 11 lakini bado betting companies zikampa man u points 6 psg kagewa 1.

Now kwakua you need to feed your ego ngoja niandike hivi;

Psg walikua favorite kushinda mechi kuliko man u based on recent years performance, kikosi, uwezo wa wachezaji na uwezo wa kocha wao.

Hapo sawa?
 
#mufc have warned Mason Greenwood over disciplinary breaches and it is understood Greenwood has also been warned by the club over his behaviour in recent days and weeks, specifically several instances of lateness [Times]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Aiseee Mara sijui kalewa kabla ya game ya Newcastle kama ni kweli huyu dogo atajipoteza mwenyewe
 
Back
Top Bottom